Asante mkuu kwa taarifa.
Je Dr. Uli anafahamu kuwa mmoja wa waliomteka ameshatubu kwa Gwajima/Kova?
Je, Dr. Uli anafahamu kwamba alitekwa na kichaa?
Huu ni Ushindi mwingine katika demokrasia ya nchi yetu!!
Asante mkuu kwa taarifa.
Je Dr. Uli anafahamu kuwa mmoja wa waliomteka ameshatubu kwa Gwajima/Kova?
Je, Dr. Uli anafahamu kwamba alitekwa na kichaa?
Asante mkuu kwa taarifa.
Je Dr. Uli anafahamu kuwa mmoja wa waliomteka ameshatubu kwa Gwajima/Kova?
Je, Dr. Uli anafahamu kwamba alitekwa na kichaa?
Najuwa wewe ni mtani wangu,
la sivyo ningekujibu.
Tuna muombe uzima, sasa sijui waliotenda hili jambo watakuwa na hali gani sijui watakimbia au?
Mungu ni mkubwa, aliyehusika natamani naye ang'olewe meno bila Ganzi:israel:
Una Huruma sana wewe...mimi natamani ang'olewe kichwa, na moyo bila ganzi, nimechagua viwili hivyo kwa sababu kwake mtu huyo havina kazi, wala havina maana kuwa navyo.
Wife njoo tulale basi. Mie naskia baridi sana.
Wakati watanzania wanaombea Dr Uli apone haraka arudi kujenga taifa kuna ambao wanatamani hata agongwe na gari ili mradi asirudi bongo. Hawa ni Kova, Hemed Msangi, Said Mwema, Jack Zoka na jamaa wa baraza la waislam la bahakita