Afya ya Dr. Ulimboka Yaimarika, Kutua Nchini August

Afya ya Dr. Ulimboka Yaimarika, Kutua Nchini August

Hakika MUNGU ndiye muweza wa yote, azidi kukuta uzima na kurudi salama.
Ingawa bwana spencer unasema "anayepigania huduma bora hospital likiwemo kina mama wajawazito wasilale wanne ktk kitanda kimoja" Hilo tunalikubali, lakini kikubwa kinachopiganiwa ni ongezeko la malipo, hili ndilo linalobeba dhana nzima ya madai. Nakerwa inapotokea unafichwa huo ukweli kwa kusema tu "dhana ya kudai huduma bora"
 
Dr.nimeomba kalismatiki jangwani kwenye. Kongamano upone ili ukweli ufahamike MUNGU AKULINDE URUDI SALAMA.
 
Kama hamtaki kuamini shauri yenu. Ulimboka atarudi ndani ya sanduku muda si mrefu.
 
Hah...?!!democrasia tena?kumbe ilikuwa ni mambo ya siasa.
Kama ndivo,nawahurumia family yake na watoto KWANI KAINGIA KWENYE MCHEZO WA HATARI.
THE STAKE ENVOLVED HERE IS TOO HIGH.

Huoni kuwa kupona kwake kutafungua chapter mpya juu ya ukweli juu ya ufedhuli wa serikali katika juhudi ya kulinda utawala wake wa kiimra hata katika mambo yanayohusu haki/stahili za mwajiriwa. Let us think beyond what our eyes can see
 
Kesi iko mahakamani kwa hiyo haruhusiwi kuongea na press. Ushahidi mahakamani
 
Kama hamtaki kuamini shauri yenu. Ulimboka atarudi ndani ya sanduku muda si mrefu.

Watu wengine walisema vitu tofauti kabisa hii inatokana na hali mbaya aliyokuwa nayo Ulimboka kipindi tunasafiri kwenda SA
 
Back
Top Bottom