spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreaTthinkers,
Habari hii ni njema na nyeti sana,
Dk Ulimboka afya yake inaendelea vizuri, uwezekano wa kuruhusiwa august ni mkubwa ila hatarusiwa kufanya kazi kwa miezi sita. baada ya hapo atarejea hospitali kwa uchunguzi tena.
''Nikirudi nyumbani nitaongea na waandishi wa habari kila mtu asikie,siogopi kufa mara ya pili. Cha msingi kila mtu aelewe kilichotokea''
Please naomba ulinzi uimarishwe, wasije wakamdhuru dk anayepigania huduma bora hospital likiwemo kina mama wajawazito wasilale wanne ktk kitanda kimoja.
Thanks
Spencer@Boksburg(SA)
Habari hii ni njema na nyeti sana,
Dk Ulimboka afya yake inaendelea vizuri, uwezekano wa kuruhusiwa august ni mkubwa ila hatarusiwa kufanya kazi kwa miezi sita. baada ya hapo atarejea hospitali kwa uchunguzi tena.
''Nikirudi nyumbani nitaongea na waandishi wa habari kila mtu asikie,siogopi kufa mara ya pili. Cha msingi kila mtu aelewe kilichotokea''
Please naomba ulinzi uimarishwe, wasije wakamdhuru dk anayepigania huduma bora hospital likiwemo kina mama wajawazito wasilale wanne ktk kitanda kimoja.
Thanks
Spencer@Boksburg(SA)