Afya ya akili ya Jerry Murro iko sawa ?

Afya ya akili ya Jerry Murro iko sawa ?

He's just delusional;
Delusion is a false unshakable belief or impression maintained despite being contradicted by what is generally accepted in a society as normal or rational argument.
This is a feature of paranoid schizophrenia
 
machizi wengi walianza hivihivi jamii ikadharau.
WITO:Natoa wito kwa ndugu na jamaa wa kijana murro kuwa hakika huyu mtu ni mgonjwa jitihada za haraka zichukuliwe kuokoa hali yake kabla hajaanza kuvua nguo.
 
Naomba wale wataalam na Madaktari wa magonjwa ya akili waje watusaidie , na hakuna haja ya watu wasio wa fani husika kuingilia.

Kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni , aliyekuwa Msemaji wa Yanga na mtuhumiwa wa kumiliki pingu kinyume cha sheria , ndugu Jerry Murro ameibuka kuwa msemaji wa mambo ya siasa bila hata ya kuwa na cheo chochote kinachotambulika , amejivika usemaji wa ccm kiasi ambacho ni cha kutia aibu sana !

Kauli za hovyo anazotoa zimeleta mashaka kwenye jamii kiasi cha watu kujiuliza kama afya yake ya akili iko sawa .

Ni vizuri wataalam wa magonjwa ya mtindio wa ubongo wakatueleza kama ni mzima au la ili kumuepusha na makombora yasiyo ya lazima.

Natanguliza shukrani .
Wataalam wa afya ya akili wa kweli wamekatazwa kwa maadili ya kazi zao kufanya uaguzi mitandaoni.

Hivyo, watakaoagua kupitia mitandao wote si wataalam wa afya ya akili wa kweli.
 
Naomba wale wataalam na Madaktari wa magonjwa ya akili waje watusaidie , na hakuna haja ya watu wasio wa fani husika kuingilia.

Kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni , aliyekuwa Msemaji wa Yanga na mtuhumiwa wa kumiliki pingu kinyume cha sheria , ndugu Jerry Murro ameibuka kuwa msemaji wa mambo ya siasa bila hata ya kuwa na cheo chochote kinachotambulika , amejivika usemaji wa ccm kiasi ambacho ni cha kutia aibu sana !

Kauli za hovyo anazotoa zimeleta mashaka kwenye jamii kiasi cha watu kujiuliza kama afya yake ya akili iko sawa .

Ni vizuri wataalam wa magonjwa ya mtindio wa ubongo wakatueleza kama ni mzima au la ili kumuepusha na makombora yasiyo ya lazima.

Natanguliza shukrani .
HUYU NI KICHAA TOKA ZAMANI, SIKIA CLIP HII NA SOMA YANAYOFUATA
Huyu Jerry Muro ana matatizo gani jamani?
 
Naomba wale wataalam na Madaktari wa magonjwa ya akili waje watusaidie , na hakuna haja ya watu wasio wa fani husika kuingilia.

Kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni , aliyekuwa Msemaji wa Yanga na mtuhumiwa wa kumiliki pingu kinyume cha sheria , ndugu Jerry Murro ameibuka kuwa msemaji wa mambo ya siasa bila hata ya kuwa na cheo chochote kinachotambulika , amejivika usemaji wa ccm kiasi ambacho ni cha kutia aibu sana !

Kauli za hovyo anazotoa zimeleta mashaka kwenye jamii kiasi cha watu kujiuliza kama afya yake ya akili iko sawa .

Ni vizuri wataalam wa magonjwa ya mtindio wa ubongo wakatueleza kama ni mzima au la ili kumuepusha na makombora yasiyo ya lazima.

Natanguliza shukrani .

Kwa sasa ni mkuu wa wilaya ya Arumeru Arusha lakini ukifuatilia hekaheka zake unabaki umeduwaa!!! Yawezekana aliteuliwa kwa sababu ya "ukichaa kichaa" wake!!
Mara ajigeuze TRA asimame barabarani kukamata malori! mara ajiite mkuu wa mkoa! na leo kachanachana hadharani risala ya chama cha ushirika!!
Yajayo yanafadhaisha!
 
Kwa sasa ni mkuu wa wilaya ya Arumeru Arusha lakini ukifuatilia hekaheka zake unabaki umeduwaa!!! Yawezekana aliteuliwa kwa sababu ya "ukichaa kichaa" wake!!
Mara ajigeuze TRA asimame barabarani kukamata malori! mara ajiite mkuu wa mkoa! na leo kachanachana hadharani risala ya chama cha ushirika!!
Yajayo yanafadhaisha!
Aiseeee !!!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Naomba wale wataalam na Madaktari wa magonjwa ya akili waje watusaidie , na hakuna haja ya watu wasio wa fani husika kuingilia.

Kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni , aliyekuwa Msemaji wa Yanga na mtuhumiwa wa kumiliki pingu kinyume cha sheria , ndugu Jerry Murro ameibuka kuwa msemaji wa mambo ya siasa bila hata ya kuwa na cheo chochote kinachotambulika , amejivika usemaji wa ccm kiasi ambacho ni cha kutia aibu sana !

Kauli za hovyo anazotoa zimeleta mashaka kwenye jamii kiasi cha watu kujiuliza kama afya yake ya akili iko sawa .

Ni vizuri wataalam wa magonjwa ya mtindio wa ubongo wakatueleza kama ni mzima au la ili kumuepusha na makombora yasiyo ya lazima.

Natanguliza shukrani .
mkuu. kuna shule za msingi za vichaa, kuna sekondary za elimu maalumu/vichaa lakini je kuna chuo kikuu chochote wanaposoma vichaa? je vichaa wakifaulu mitihani yao ile ya msingi na hata sekondary wanaenda vyuo gani humu nchini? wakimaliza shahada zao za kwanza wanaenda wapi? je hakuna vichaa wenye PhD?
 
Kama mamlaka ya uteuzi ingekuwa inaingia jf basi hata hii aibu ya GARI LA UMMA KUTUMIKA KUSOMBA MALAYA LISINGETOKEA
 
Back
Top Bottom