Naomba wale wataalam na Madaktari wa magonjwa ya akili waje watusaidie , na hakuna haja ya watu wasio wa fani husika kuingilia.
Kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni , aliyekuwa Msemaji wa Yanga na mtuhumiwa wa kumiliki pingu kinyume cha sheria , ndugu Jerry Murro ameibuka kuwa msemaji wa mambo ya siasa bila hata ya kuwa na cheo chochote kinachotambulika , amejivika usemaji wa ccm kiasi ambacho ni cha kutia aibu sana !
Kauli za hovyo anazotoa zimeleta mashaka kwenye jamii kiasi cha watu kujiuliza kama afya yake ya akili iko sawa .
Ni vizuri wataalam wa magonjwa ya mtindio wa ubongo wakatueleza kama ni mzima au la ili kumuepusha na makombora yasiyo ya lazima.
Natanguliza shukrani .