Tzania
Member
- Jul 23, 2019
- 31
- 12
Wakuu nahitaji kulisha ubongo wa kabinti kangu ambako kana takribani miaka mitano ila nahitaji kawe genius school na nyumbani pia.
Hebu nipeni muongozo kwa wataalamu wa haya mambo vyakula gani ambavyo vinamjenga kiakili mtoto na shule ipi bora ambayo itamjenga huyu binti katika misingi ya lugha tatu English, French na Kireno au Kispain na Kiarabu.
Karibuni kwa mawazo na ideas zenu wakuu.
Hebu nipeni muongozo kwa wataalamu wa haya mambo vyakula gani ambavyo vinamjenga kiakili mtoto na shule ipi bora ambayo itamjenga huyu binti katika misingi ya lugha tatu English, French na Kireno au Kispain na Kiarabu.
Karibuni kwa mawazo na ideas zenu wakuu.