elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
- Thread starter
- #21
Ushauri wa bure,
Huyo mpuuzi asamehe kila kitu alichoacha kwa huyo polisi. Kwa upumbavu kama huo wala msiende kumtafuta mzee wa kuwasindikiza. Mtaanzaje kumweleza mzee mwenye busara zake upuuzi huo,halafu unasema mko chuo, sasa huko mnasoma nini?
Hilo ni lake na alibebe mwenyewe, ila msisogee wala kupita mitaa anayoishi huyo polisi.
Si muungi mkono toka mwanzo ila nataka kukumbusha kwamba siku hizi wanafunzi wa chuo ndiyo wanaongoza kwa tabia zote chafu.
ngono zisizo na msingi
Wasichana kuvaa uchi uchi
Party za kijinga
Pia hata wabunge pia nao wachafu.
Kwa hiyo usitumie kigezo cha kuwa chuo kuhukumu, mhukumu mtu kwa ujinga wake binafsi si