Hahaha!!! Lizzy usiku kucha ulishinda kaunta ya juu naona ndio unaamka hata umesahau:lol::eyebrows:
We'll see that one Thursday kuamkia Friday:lol::eyebrows:
Sina shaka kalenda yako Lizzy ni ya mchina....otherwise there r smthng wrong, labda Afro aatujuze hapa...!!
Bt ni kweli ulikuwa kaunta ya juu weekend? ukachanganya videsa??hahaa lol
Aisee kaunta ya juu tuna hisa kabisa
Nina hamu kwelli ya kuiona hiyo kaunta ya juu, manake inapigiwa promo mbaya, hambanduki huko lol
Yummy Yummy YummyHhmmm Mhhhhh Hhhmmm...
Hahaha!! Neiba wako huyo mimi namwangalia tu
Halafu bili mpelekee ODM.....
Yummy Yummy Yummy
Yummy Yummy Yummy
Aisee kaunta ya juu tuna hisa kabisa
Afrodenzi ana hisa 40%
Kimey ana hisa 40%
Asprin ana hisa 40%
Lizzy ana hisa 40%
Wiselady ana hisa 40%
Preta ana hisa 40%
Blaki Womani ana hisa 40%
:lol::lol::lol: Hakyanani una balaa wewe nimecheka kweliThat's better be what i'll say about my Bday cake a month after the actual Bday....
Tumepata application ya The Boss bado tunamfikiria
Vp vipande vya hisa vishaanz kuuzwa?? manake naona hapo percent ishafika 280%...kubwe bwebwe zote "The Boss" hana chake..dooh
:lol::lol::lol: Hakyanani una balaa wewe nimecheka kweli
Sometime unajua kuniotea...lolUmefuraaaaaahi mwenyewe!!!:A S-coffee:
That's better be what i'll say about my Bday cake a month after the actual Bday....
ilikuwa tarehe 29.01.2011 juma mosi usiku.
nilipoingia humu ndani ya JF nika haribu mambo..
nilienda kwenye Calender nikaweka birthday yangu usiku huo..
badala ya mwezi wa 11.. mimi nikaweka mwezi wa kwanza
kweli wapendwa naomba mnisamehe bure kwa kuwapotezea muda wenu kujibu..
na msamahaa zaidi uwende kwa alieandika hiyo thread..
nimeona imelete migogoro kidogo humu ndani..
yote makosa yangu ndo maana niko mbele yenu kuomba radhi..
Hehehehhe...lini na wewe utaniotea???Sometime unajua kuniotea...lol