Afro East ni balaa kubwa

Turnkey

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
7,358
Reaction score
5,843
The first East Africa album trending in Nigeria for two months non stop by @harmonize_tz who recognized as the number one ☝ artist in East Africa right now ,what so special about this album, got the Africa sound, literally what is your favorite song from it?

Wanaija wamekubali huu mziki, sasa ni hatua moja kwenda Billboard.
Thanks Africa music test

 
Kama usemacho ni chakweli amepiga hatua kubwa sana KONDE BOY na akama angekuwa WCB basi hii habari ingekuwa kubwa zaidi ya hapa.
 
Watu wengi mnaomchukia Diamnd Platnumz ndio mnaomjaza upepo huyu dogo, ila bado sana
 
Music taste* na siyo 'test' mleta mada.!
 
Watu wengi mnaomchukia Diamnd platnumz ndio mnaomjaza upepo huyu dogo, ila bado sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Nani anamchukia Mond? Niliendaga show yake Ulaya akiwa bado mchanga anavaa sweta la kijani na jeans nyeupe. Hapa hakuna utimu Mbongo akifanya vizuri tunamsifia kama Samatta.
 
Number one artist in East Africa?
Wewe Mtoa maada unakubaliana na hio hoja?
 
Uzi wako umeharibu kwa kusema kondeboy Ni msanii no 1 east Africa ungesifia tu hiyo album bila ya kusema hivyo watu wangekuelewa.
 
Inatrend naija huoni imekaa kinaija? Nyimbo nyingi anaimba kama wanaija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…