Afrika Inazama

Afrika Inazama

Unamjua vizuri Savimbi,au umekaririshwa tu !
Wapigania UHURU walihadaa waafrika wakawafukuza wakoloni kisha wao wakawa wakoloni weusi, wakijilimisha utajiri wa nchi wao na vizazi vyao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye ufukara zaidi ya wakati wa mkoloni. Viwanda, mashamba, na miradi yote waliyoacha wakoloni imekufa. Huku familia za wapigania UHURU wakiwa mamilionea wakiishi kifahari.Bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi,kwani maisha yalikuwa bora ajira tele mashambani, viwanda, elimu, afya miundombinu zilikuwa bora kabisa, huku wakulima wakiwa na uhakika kabisa pa kuuzia mazo yao bila shida kabisa.
Afrika inazama. Mugabe, kamuzu banda, savimbi ni waafrika tena wasomi wa juu walizitumia elimu zao kuzibomoa nchi zao.
 
Kipi cha maana alichowafanyia watu wake
Alipigania kuitoa Angola kwenye mikoni ya Mafisadi,mpaka dakika ya mwisho ya maisha yake,na aliuawa AKIWA ameshika Ak 47 yake!
Unafikiri ni Kwa nini maiti yake imefukuliwa na kuzikwa upya Kwa heshima Kitaifa!
Hii ni baada ya ukweli kujulikana...Hata Nyerere aliwahi kujutia kumuunga Mkono fisadi Do Santos!
Fukua hizi habari usikaririshwe!
 
Alipigania kuitoa Angola kwenye mikoni ya Mafisadi,mpaka dakika ya mwisho ya maisha yake,na aliuawa AKIWA ameshika Ak 47 yake!
Unafikiri ni Kwa nini maiti yake imefukuliwa na kuzikwa upya Kwa heshima Kitaifa!
Hii ni baada ya ukweli kujulikana...Hata Nyerere aliwahi kujutia kumuunga Mkono fisadi Do Santos!
Fukua hizi habari usikaririshwe!
Hamna kitu hapo hata Hapo Uganda kuna wanaomuona M7 kama Savimbi🤣🤣
 
Hizi dini za kuletewa huoni kama linazamisha taifa letu, watu wamekuwa wajinga kupindukia wakiamini vitu that do not make any sense to us wala kwa hao waliotuletea.
Din hazihusiani ingekua hivyo wapagani ndo wangekua matajiri.

Pia Hata huo ukristo si wa wazungu nao waliletewa ila wanamaendeleo
 
Alipigania kuitoa Angola kwenye mikoni ya Mafisadi,mpaka dakika ya mwisho ya maisha yake,na aliuawa AKIWA ameshika Ak 47 yake!
Unafikiri ni Kwa nini maiti yake imefukuliwa na kuzikwa upya Kwa heshima Kitaifa!
Hii ni baada ya ukweli kujulikana...Hata Nyerere aliwahi kujutia kumuunga Mkono fisadi Do Santos!
Fukua hizi habari usikaririshwe!
Mbona kaua watu wasio na hatia,kabomoa miundombinu yenye maslai ya watu, kwann asingeua mafisadi tu.
Kwann alikataa kuwa Makamu wa raisi Ili awashughulikie mafisadi.
Savimbi alikuwa ni mbinafsi wa hali ya juu , kilichomua ni udabo agent anatumika na Mrusi kwa siri wakati huo huo anatumika na USA ilipojulikana siri, bullets za kutosha ndo chakula chake awahi kuzimu kumtumikia lucifer, kama mobutu.
 
Kama Mafisadi wamejichanganya na hao wasio na hatia ,utatanyaje!
Hivi Ufisadi aliofanya Dos Santos uneua watu wangapi?!
Yeye alikuwa anapigania maslahi ya Umma sio Umakamu wa Rais!
Kuna Kiongozi yoyote Dunia ya Tatu ambaye alikuwa hafungamani na Mabeberu ,aidha wa Mashariki au Magharibi,au wote...haijalishi Rangi ya Paka ilimuradi anawanasa panya!
Mbona kaua watu wasio na hatia,kabomoa miundombinu yenye maslai ya watu, kwann asingeua mafisadi tu.
Kwann alikataa kuwa Makamu wa raisi Ili awashughulikie mafisadi.
Savimbi alikuwa ni mbinafsi wa hali ya juu , kilichomua ni udabo agent anatumika na Mrusi kwa siri wakati huo huo anatumika na USA ilipojulikana siri, bullets za kutosha ndo chakula chake awahi kuzimu kumtumikia lucifer, kama mobutu.
 
Tunazama kwenye ujinga na kufuata dini/imani za kuletewa ili tutawalike vizuri zaidi tukiamini vya kuletewa na wenzetu ndiyo mali zaidi. Tukiendelea kupeleka watoto wetu na kuwaaminisha kuwa madrasat ni bora kuliko elimu basi tumekwisha.
Kwamba Uingereza ukristo ulishuka kama MANNA zilivyowashukia Mussa na kundi lake jangwani?.
Kwamba Malaysia uislamu hawakupelekewa walijikuta ni waislamu bila ya wafanyabiashara wa kiarabu kwenda uko?.
Kwanini hao wengine waendelee wakati na wao dini/ wamepelekewa?.
TUSIDANGANYANE.
 
Kama Mafisadi wamejichanganya na hao wasio na hatia ,utatanyaje!
Hivi Ufisadi aliofanya Dos Santos uneua watu wangapi?!
Yeye alikuwa anapigania maslahi ya Umma sio Umakamu wa Rais!
Kuna Kiongozi yoyote Dunia ya Tatu ambaye alikuwa hafungamani na Mabeberu ,aidha wa Mashariki au Magharibi,au wote...haijalishi Rangi ya Paka ilimuradi anawanasa panya!
[/QUOTE
Thus zilipigwa kura wananchi wakamchagua Do santos na sio Savimbi,kama hakuchaguliwa kwann alazimishe kuongoza na kutaka kuitoa serikali halali ya Do santos
 
Aue kwa upanga ufa kwa upanga.
Aliuwa watu kwa AK nae akachezea AK 47.Vuna upandacho
 
Aka ...acha wale blaza!
Let them eat brother,
Until system changes,
Until exploitation ends,
Because our leaders,
Are not yet ready ,
To die a little,
So that poor citizens may live

#LetThemEatBroUntilMassEmancipation
 
Back
Top Bottom