Afrika inalia kilio cha wakoloni wao kwenye Corona

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,313
12,613
CORONA imekuja kudhihirisha namna Africa kwanini hatuendelei hata baada ya miaka 60 ya kupata Uhuru.

Africa inatafunwa na magonjwa mengi sana ambayo ilipaswa kuungana kupambana nayo. Adui namba moja wa east, cental, west na south Africa Ni malaria, ikifuatiwa kwa karibu na HIV, TB, kipindupindu, vifo vya akina mama na watoto. Afrika haina mbinu ya pamoja ya kupambana na magonjwa haya ingawa inagharimu maisha ya watu wetu kwa miaka mingi sana kuliko CORONA.

CORONA kwakuwa inagharimu maisha ya wakoloni wetu wa zamani basi Africa imeyasahau magonjwa yake yote ikakimbilia hukohuko kwenye CORONA ili kulia pamoja na mataifa makubwa. Tukakopi strategy zao za kupambana na CORONA bila kukopi background na context zao.

Waafrika hawakuhangaika na compare and contrast kati ya Africa na mataifa makubwa kwenye CORONA, waafrika wakageuka madodoki wakazoa kila kitu Cha ulaya, Marekani na Asia bila kujali difference ya weather, economical, social, psychological, Development, behavior and political environment ya Kati ya Africa na mataifa hayo. Hii ilisababisha viongozi wa kiafrika kupitisha kwa nguvu vitu vyenye umbo la pembe nne vipite kwenye tundu la duara/round. Tukashuhudia Askari wakipiga watu risasi watu wao walioshindwa kujifungia ndani kama wenzao wazungu wa Marekani ambao walitengenezewa mazingira ya kutosha ya lockdown.

Viongozi wa Africa walifanya hivyo kuwafurahisha wakopeshaji na watoa misaada wao huku wakisubiri kuona what next kutoka kwa wazungu. Walishikwa na woga uliopitiliza wa kufa na kunyimwa misaada na kufukuza wawekezaji wa kizungu.

Sasa Wazungu wameshindwa lockdown wanataka kutoka nje kuokoa uchumi wao bila kujali CORONA ipo au hakuna, bila shaka na waafrika wetu nao watashindwa kuendelea na lockdown pia bila kujali CORONA ipo au haipo.

kwa Mara ya kwanza Tanzania chini ya JPM itaiongoza dunia kwenye kupambana na CORONA. Tanzania itaingia kwenye vitabu vya dunia kwenye vita dhidi ya CORONA baada ya kunusa ubaya wa kufungia ndani wakulima wasiende kulima, wafanyakazi wasiende kazini, wachuuzi wasichuuze, wafanyabiashara wasiuze, wavuvi wasivue, wafugaji wasiende kuchunga mifugo yao ife njaa, bodaboda walale ndani bila kupewa njia nyingine mbadala ya kupata ugali, mama ntilie walale ndani, nk. Huu kwavyovyote vile ungekuwa upuzi sawa na upuzi mwingine.

Kwavyovyote vile, Kama magonjwa mengine CORONA pia ilipaswa kuua baadhi yetu Kama yanavyofanya magonjwa mengine Kama malaria, HIV, kisukari, moyo, cancer, ajali ambayo yanaingia na kuua hata watu wale walioko ikulu. Kwanini iwe ajabu mtu kufa kwa corona lakini isiwe ajabu mtu kufa kwa Malaria?

Tanzania tunapaswa kuonyesha dunia kuwa hata michezo, shule na vyuo vyetu vinaweza kuendelea huku tukiendelea na distancing, barakoa, sanitizers, kunawa mikono na kupiga nyungu Kama tunavyofanya kwa HIV, kipindupindu, typhoid, Malaria, nk

Wazungu ni zamu yao kuiga Tanzania mwaka huu.
 
Kila unapotaka kuamua kufanya Jambo lolote lazima ufanye assuption. Assuption kwenye lockdown ni ingekuwa:
1. Je, ugonjwa utaisha lini?
2. Je, nitawafungia watu hadi lini?
3. Je, watu wote wamejiwekea akiba fedha, chakula, maji?
4. Je, Watanunua wapi chakula na mahitaji yao?
5. Je, nyumba moja inakaa watu/familia/kaya ngapi?
 
Ni kweli wamechota sana akili zetu yule mke wa bill get alisema mda si mrefu maiti za corona zitazagaa mitaani Africa utadhani yeye ndio Mungu

Huo mda aliyousema umeshapita na bado
watu tunadunda tu mitaani

Watafute kirusi kingine hichi wametukosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli wamechota sana akili zetu yule mke wa bill get alisema mda si mrefu maiti za corona zitazagaa mitaani Africa utadhani yeye ndio Mungu

Huo mda aliyousema umeshapita na bado
watu tunadunda tu mitaani

Watafute kirusi kingine hichi wametukosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa huko vijijini nilikuta maisha huko yanaendelea Kama kawaida bila ya barakoa, kunawa maji Wala sanitizers. Watu wanaangalia movies vibanda umiza, hakuna hata anayeumwa na kichwa Wala kupiga chafya.

Hawa Ni watu ambao maisha yao yote wanaishi na kuku, bata, mbuzi, ng'ombe pamoja, Ni watu ambao hawachemshi hata maji, ni watu ambao hata vyoo hawana, Ni watu ambao hata kuvaa viatu Ni tabu.

Sisi Mungu kweli ndiye muokozi wetu
 
Kuna watu bado hawajaelewa maamuzi mazuri aliyochukua JPM, wanakimbilia tu lockdown na wakati wao wana majumba makubwa yana kila kitu ndani. Sasa sisi na vyumba vyetu vya kupanga manzese tungeishije. Hakuna cha lockdown wala mama yake na lockdown.
 
CORONA imekuja kudhihirisha namna Africa kwanini hatuendelei hata baada ya miaka 60 ya kupata Uhuru.

Africa inatafunwa na magonjwa mengi sana ambayo ilipaswa kuungana kupambana nayo. Adui namba moja wa east, cental, west na south Africa Ni malaria, ikifuatiwa kwa karibu na HIV, TB, kipindupindu, vifo vya akina mama na watoto. Afrika haina mbinu ya pamoja ya kupambana na magonjwa haya ingawa inagharimu maisha ya watu wetu kwa miaka mingi sana kuliko CORONA.

CORONA kwakuwa inagharimu maisha ya wakoloni wetu wa zamani basi Africa imeyasahau magonjwa yake yote ikakimbilia hukohuko kwenye CORONA ili kulia pamoja na mataifa makubwa. Tukakopi strategy zao za kupambana na CORONA bila kukopi background na context zao.

Waafrika hawakuhangaika na compare and contrast kati ya Africa na mataifa makubwa kwenye CORONA, waafrika wakageuka madodoki wakazoa kila kitu Cha ulaya, Marekani na Asia bila kujali difference ya weather, economical, social, psychological, Development, behavior and political environment ya Kati ya Africa na mataifa hayo. Hii ilisababisha viongozi wa kiafrika kupitisha kwa nguvu vitu vyenye umbo la pembe nne vipite kwenye tundu la duara/round. Tukashuhudia Askari wakipiga watu risasi watu wao walioshindwa kujifungia ndani kama wenzao wazungu wa Marekani ambao walitengenezewa mazingira ya kutosha ya lockdown.

Viongozi wa Africa walifanya hivyo kuwafurahisha wakopeshaji na watoa misaada wao huku wakisubiri kuona what next kutoka kwa wazungu. Walishikwa na woga uliopitiliza wa kufa na kunyimwa misaada na kufukuza wawekezaji wa kizungu.

Sasa Wazungu wameshindwa lockdown wanataka kutoka nje kuokoa uchumi wao bila kujali CORONA ipo au hakuna, bila shaka na waafrika wetu nao watashindwa kuendelea na lockdown pia bila kujali CORONA ipo au haipo.

kwa Mara ya kwanza Tanzania chini ya JPM itaiongoza dunia kwenye kupambana na CORONA. Tanzania itaingia kwenye vitabu vya dunia kwenye vita dhidi ya CORONA baada ya kunusa ubaya wa kufungia ndani wakulima wasiende kulima, wafanyakazi wasiende kazini, wachuuzi wasichuuze, wafanyabiashara wasiuze, wavuvi wasivue, wafugaji wasiende kuchunga mifugo yao ife njaa, bodaboda walale ndani bila kupewa njia nyingine mbadala ya kupata ugali, mama ntilie walale ndani, nk. Huu kwavyovyote vile ungekuwa upuzi sawa na upuzi mwingine.

Kwavyovyote vile, Kama magonjwa mengine CORONA pia ilipaswa kuua baadhi yetu Kama yanavyofanya magonjwa mengine Kama malaria, HIV, kisukari, moyo, cancer, ajali ambayo yanaingia na kuua hata watu wale walioko ikulu. Kwanini iwe ajabu mtu kufa kwa corona lakini isiwe ajabu mtu kufa kwa Malaria?

Tanzania tunapaswa kuonyesha dunia kuwa hata michezo, shule na vyuo vyetu vinaweza kuendelea huku tukiendelea na distancing, barakoa, sanitizers, kunawa mikono na kupiga nyungu Kama tunavyofanya kwa HIV, kipindupindu, typhoid, Malaria, nk

Wazungu ni zamu yao kuiga Tanzania mwaka huu.
Unajua kama ikulu iko lockdown lubondo, 50 days + au hiyo ni exceptional
 
CORONA imekuja kudhihirisha namna Africa kwanini hatuendelei hata baada ya miaka 60 ya kupata Uhuru.

Africa inatafunwa na magonjwa mengi sana ambayo ilipaswa kuungana kupambana nayo. Adui namba moja wa east, cental, west na south Africa Ni malaria, ikifuatiwa kwa karibu na HIV, TB, kipindupindu, vifo vya akina mama na watoto. Afrika haina mbinu ya pamoja ya kupambana na magonjwa haya ingawa inagharimu maisha ya watu wetu kwa miaka mingi sana kuliko CORONA.

CORONA kwakuwa inagharimu maisha ya wakoloni wetu wa zamani basi Africa imeyasahau magonjwa yake yote ikakimbilia hukohuko kwenye CORONA ili kulia pamoja na mataifa makubwa. Tukakopi strategy zao za kupambana na CORONA bila kukopi background na context zao.

Waafrika hawakuhangaika na compare and contrast kati ya Africa na mataifa makubwa kwenye CORONA, waafrika wakageuka madodoki wakazoa kila kitu Cha ulaya, Marekani na Asia bila kujali difference ya weather, economical, social, psychological, Development, behavior and political environment ya Kati ya Africa na mataifa hayo. Hii ilisababisha viongozi wa kiafrika kupitisha kwa nguvu vitu vyenye umbo la pembe nne vipite kwenye tundu la duara/round. Tukashuhudia Askari wakipiga watu risasi watu wao walioshindwa kujifungia ndani kama wenzao wazungu wa Marekani ambao walitengenezewa mazingira ya kutosha ya lockdown.

Viongozi wa Africa walifanya hivyo kuwafurahisha wakopeshaji na watoa misaada wao huku wakisubiri kuona what next kutoka kwa wazungu. Walishikwa na woga uliopitiliza wa kufa na kunyimwa misaada na kufukuza wawekezaji wa kizungu.

Sasa Wazungu wameshindwa lockdown wanataka kutoka nje kuokoa uchumi wao bila kujali CORONA ipo au hakuna, bila shaka na waafrika wetu nao watashindwa kuendelea na lockdown pia bila kujali CORONA ipo au haipo.

kwa Mara ya kwanza Tanzania chini ya JPM itaiongoza dunia kwenye kupambana na CORONA. Tanzania itaingia kwenye vitabu vya dunia kwenye vita dhidi ya CORONA baada ya kunusa ubaya wa kufungia ndani wakulima wasiende kulima, wafanyakazi wasiende kazini, wachuuzi wasichuuze, wafanyabiashara wasiuze, wavuvi wasivue, wafugaji wasiende kuchunga mifugo yao ife njaa, bodaboda walale ndani bila kupewa njia nyingine mbadala ya kupata ugali, mama ntilie walale ndani, nk. Huu kwavyovyote vile ungekuwa upuzi sawa na upuzi mwingine.

Kwavyovyote vile, Kama magonjwa mengine CORONA pia ilipaswa kuua baadhi yetu Kama yanavyofanya magonjwa mengine Kama malaria, HIV, kisukari, moyo, cancer, ajali ambayo yanaingia na kuua hata watu wale walioko ikulu. Kwanini iwe ajabu mtu kufa kwa corona lakini isiwe ajabu mtu kufa kwa Malaria?

Tanzania tunapaswa kuonyesha dunia kuwa hata michezo, shule na vyuo vyetu vinaweza kuendelea huku tukiendelea na distancing, barakoa, sanitizers, kunawa mikono na kupiga nyungu Kama tunavyofanya kwa HIV, kipindupindu, typhoid, Malaria, nk

Wazungu ni zamu yao kuiga Tanzania mwaka huu.
Ikulu imeshindwa kuparticipate SADC, Au, EAC sababu iko lock down remote Lubondo island hiyo imekaaje mkuu
 
Nilikuwa huko vijijini nilikuta maisha huko yanaendelea Kama kawaida bila ya barakoa, kunawa maji Wala sanitizers. Watu wanaangalia movies vibanda umiza, hakuna hata anayeumwa na kichwa Wala kupiga chafya.

Hawa Ni watu ambao maisha yao yote wanaishi na kuku, bata, mbuzi, ng'ombe pamoja, Ni watu ambao hawachemshi hata maji, ni watu ambao hata vyoo hawana, Ni watu ambao hata kuvaa viatu Ni tabu.

Sisi Mungu kweli ndiye muokozi wetu
Kwa hiyo hiyo ni kwasababu ya malaika magufuli au kuna sababu nyingine ya kibaiologia, jiografia, praise team mnafeli
 
Mzee unamuona Magufuli special sana eti anapaswa kuiongoza Dunia kisa kaipuuzia Corona?
Mbona Kuna Marais wengi tu wameipuuza, mfano Burundi tu hapo, pia Brazil, Belarus, hata Marekani Rais wao kaipuuza sema like madaraka hayapo centralized Kama huku, so hakuna u special wowote Ila wanaonekana vituko tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kama ikulu iko lockdown lubondo, 50 days + au hiyo ni exceptional
Hakuna mtu, familia au kaya iliyokatazwa isijilockdown, hata wewe usingebughudhiwa na mtu Kama ungeamua kujilockdown hata kwa miezi 3 bila kutoka nje hata sentimita moja nje. Kumbe unaujuwa umuhimu wa lockdow kwani watu wanasubiri waamriwe? Hujachelewa anza leo kujichimbia ndani
 
Ikulu imeshindwa kuparticipate SADC, Au, EAC sababu iko lock down remote Lubondo island hiyo imekaaje mkuu
Kwahiyo lubondo hakuna mawasiliano ya simu Wala internet? Maana ilikuwa teleconferencing. Wacha uongo, huo ulikuwa mkutano wa waliojilock down tu
 
Back
Top Bottom