Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,247
Kipindi Cha ukoloni waafrica tulikuwa tunapigana sisi kwa sisi halafu mzungu ananyakua Mali kirahisi Sana. Mfano mango Sina dhidi ya mango meli halafu mzungu anapita kirahi.
Mangungo akalaghaiwa ka mikataba mibovu pia.
Sasa Rwanda inatumuwa na wazungu kuwapiga waafrica wenzake i.e Congo ili tu waive madini bila kujulikana Kama ni wao kwa through M23.
Rwanda inapewa siraha nzito na marekani kuishambalia na kuua raia wa drc.
Kwa nini Africa tusijikomboe dhidi ya wakoloni Hawa. Wanatajirika kwa Mali zetu na kuua bila kujali na baadhi ya vibaraka Kama kagame wanawasaidia na inasemekana kagame ni C.I.A wa marekani aliyepandikizwa ili kukidhi maslahi ya marekani.
Africa Nani aliyetuloga?
Mangungo akalaghaiwa ka mikataba mibovu pia.
Sasa Rwanda inatumuwa na wazungu kuwapiga waafrica wenzake i.e Congo ili tu waive madini bila kujulikana Kama ni wao kwa through M23.
Rwanda inapewa siraha nzito na marekani kuishambalia na kuua raia wa drc.
Kwa nini Africa tusijikomboe dhidi ya wakoloni Hawa. Wanatajirika kwa Mali zetu na kuua bila kujali na baadhi ya vibaraka Kama kagame wanawasaidia na inasemekana kagame ni C.I.A wa marekani aliyepandikizwa ili kukidhi maslahi ya marekani.
Africa Nani aliyetuloga?