kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,418
- 7,206
Kusema kweli wengi duniani wameshituka sana kuona mtu aliyechaguliwa kua waziri na biden kijana mrembo fulani hivi akimtambulisha mwanamume mwingine bila hata aibu kama mumewe.😩😩
Nilifikiri labda biden aliyefungisha ndoa ya mashoga ofisini kwake alipokua makamu wa rais huenda atawastahi walimwengu kuhusu aibu hii ya ushoga.
Kwenye maendeleo ya binadamu kwenye kupigania usawa wa jinsia binadamu duniani wanakubaliana ni kuleta usawa kwa jinsia za asili yaani wanawake na wanaume.
Ushoga hakika si jinsia asilia na binadamu wanajua ni uharibifu tu na tamaa ovu za binadamu. Kurasmisha ushoga hakika ni kuendekeza matamanio maovu ya binadamu na kufungua pandora box kwenye mambo maovu.
Hivi leo kuna wanaume wenye kujibadili viungo kutoka kiume kwenda kike na wanawake wenye kujibadili kwenda kiume. Kuna wanaume waliyojibadili jinsia na kufanywa wabebe mimba na kuzaa.
Mambo kama hayo kimaadili ya binadamu na kiroho hayakubaliki kwa binadamu karibu wote.
Utawala huu wa mademocrats zaidi ya mwenendo wao kuhusu ushoga wanaziandama nchi changa hasa za kiafrika kuzihujumu na kuziwekea vikwazo kama haziungi mkono kukubali wazi kuwapa heshima na kutambua ushoga kama kitu cha kawaida na haki ya mtu.
Nchi badala ishughulikie mambo ya msingi itatakiwa kuwalinda mashoga watoke kifichoni waishi kwa heshima na uhuru kitu ambacho kwa waafrika na binadamu karibu wote ni tabia ya aibu isiyofaa mbele ya jamii na kiroho.
Kipindi cha trump afrika na dunia imeshuhudia ushoga ukiwekwa sehemu yake. Kama jambo la aibu na lisilofaa kwenye jamii na kiroho.
Kipindi cha trump Afrika imeshuhudia uondoaji wa majeshi ya marekani sehemu mbalimbali za dunia na somalia. Pia Afrika imeshuhudia uingiliaji mdogo wa mambo yake ya ndani.
Tunakumbuka uingiliaji wa mademocrats wakati wa clinton huko congo uingiliaji uliyoleta maafa makubwa kwa Congo DR na eneo zima la maziwa makuu.
Pia wakati wa obama tumeona jinsi wamarekani walivyoingilia libya na kumuua kadhafi.
Kwa hivyo tujiandae kwa balaa. Wengi wanasema kuna hila za mademocrats na vyama vya kimafia freemason na mashoga inawezekana na mayahudi kuidhuru dunia kwa faida ya kuweza kuidhibiti dunia kiuchumi. Hata hili gonjwa la covid 19 huenda ni katika njama hizo.
Nilifikiri labda biden aliyefungisha ndoa ya mashoga ofisini kwake alipokua makamu wa rais huenda atawastahi walimwengu kuhusu aibu hii ya ushoga.
Kwenye maendeleo ya binadamu kwenye kupigania usawa wa jinsia binadamu duniani wanakubaliana ni kuleta usawa kwa jinsia za asili yaani wanawake na wanaume.
Ushoga hakika si jinsia asilia na binadamu wanajua ni uharibifu tu na tamaa ovu za binadamu. Kurasmisha ushoga hakika ni kuendekeza matamanio maovu ya binadamu na kufungua pandora box kwenye mambo maovu.
Hivi leo kuna wanaume wenye kujibadili viungo kutoka kiume kwenda kike na wanawake wenye kujibadili kwenda kiume. Kuna wanaume waliyojibadili jinsia na kufanywa wabebe mimba na kuzaa.
Mambo kama hayo kimaadili ya binadamu na kiroho hayakubaliki kwa binadamu karibu wote.
Utawala huu wa mademocrats zaidi ya mwenendo wao kuhusu ushoga wanaziandama nchi changa hasa za kiafrika kuzihujumu na kuziwekea vikwazo kama haziungi mkono kukubali wazi kuwapa heshima na kutambua ushoga kama kitu cha kawaida na haki ya mtu.
Nchi badala ishughulikie mambo ya msingi itatakiwa kuwalinda mashoga watoke kifichoni waishi kwa heshima na uhuru kitu ambacho kwa waafrika na binadamu karibu wote ni tabia ya aibu isiyofaa mbele ya jamii na kiroho.
Kipindi cha trump afrika na dunia imeshuhudia ushoga ukiwekwa sehemu yake. Kama jambo la aibu na lisilofaa kwenye jamii na kiroho.
Kipindi cha trump Afrika imeshuhudia uondoaji wa majeshi ya marekani sehemu mbalimbali za dunia na somalia. Pia Afrika imeshuhudia uingiliaji mdogo wa mambo yake ya ndani.
Tunakumbuka uingiliaji wa mademocrats wakati wa clinton huko congo uingiliaji uliyoleta maafa makubwa kwa Congo DR na eneo zima la maziwa makuu.
Pia wakati wa obama tumeona jinsi wamarekani walivyoingilia libya na kumuua kadhafi.
Kwa hivyo tujiandae kwa balaa. Wengi wanasema kuna hila za mademocrats na vyama vya kimafia freemason na mashoga inawezekana na mayahudi kuidhuru dunia kwa faida ya kuweza kuidhibiti dunia kiuchumi. Hata hili gonjwa la covid 19 huenda ni katika njama hizo.