Afrika hivi bila maandamano hamna haki?

Afrika hivi bila maandamano hamna haki?

Prince edu

Member
Joined
Dec 16, 2011
Posts
78
Reaction score
0
Yaan bara la Afrika kila jambo wanalolitaka hutumia njia ya maandamano hivi hamna kabisa njia nyingine ya kupata haki zao muda.hivi juzijuzi Misri maandamano tu! WHY THIS?
 
Na ndicho cha fata tanzania.mafisadi wamegoma kung'oka wao wenyewe kifuatacho ni nguvu ya umma kuwatoa na kila anayeipenda tanzania na kuchukia madudu haya chonde chonde jitokezeni .tukiungana twaweza tuchukue hatua sasa tena vijana ndiyo wa msingi sana.
 
Back
Top Bottom