wwww
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 350
- 252
Wanajf,
Katika hali ya kushangaza vijana wa Kyela wamejipanga kufanya kampeni ya kumwangusha Dr. Harrison Mwakyembe kwa kile wanachodai wamechoshwa na majivuno ya Mwakyembe kwa wapiga kura wake.
Nilipokuwa huko nilishangaa
kuona vijana wakiwa hawataki kabisa kusikia
jina la Mwakyembe huku wakisema tulimuweka
wenyewe na tutamtoa wenyewe.
Kama dharau
akawafanyie wengine lakini sio sisi.
"Huyu kijana
hana hela lakini tunajua
ana uchungu na jimbo hili na kwa vile ni
kijana wa kawaida asiye na makuu
atatusikiliza tu", Alisema mama mmoja.
anayefanya kazi ya kuuza chakula (mama
n'tilie).
Jina la Africar Kagema ni geni katika
siasa za Kyela lakini anapewa matumaini
makubwa na vijana.
Hapa ndipo nilipoamini
kuwa siasa za Kyela hazina rafiki wala
adui wa kudumu.
Wanasema sisi hatuhitaji
mbunge wa Serikali bali mbunge wa jimbo kwa
maslahi ya jimbo letu tu.
Nilipowapeleleza huyu
kijana yuko wapi walisema ni mtumishi katika
moja ya Halmashauri hapa nchini.
My take: Ni kweli nabii hakubaliki kwao.......?
Katika hali ya kushangaza vijana wa Kyela wamejipanga kufanya kampeni ya kumwangusha Dr. Harrison Mwakyembe kwa kile wanachodai wamechoshwa na majivuno ya Mwakyembe kwa wapiga kura wake.
Nilipokuwa huko nilishangaa
kuona vijana wakiwa hawataki kabisa kusikia
jina la Mwakyembe huku wakisema tulimuweka
wenyewe na tutamtoa wenyewe.
Kama dharau
akawafanyie wengine lakini sio sisi.
"Huyu kijana
hana hela lakini tunajua
ana uchungu na jimbo hili na kwa vile ni
kijana wa kawaida asiye na makuu
atatusikiliza tu", Alisema mama mmoja.
anayefanya kazi ya kuuza chakula (mama
n'tilie).
Jina la Africar Kagema ni geni katika
siasa za Kyela lakini anapewa matumaini
makubwa na vijana.
Hapa ndipo nilipoamini
kuwa siasa za Kyela hazina rafiki wala
adui wa kudumu.
Wanasema sisi hatuhitaji
mbunge wa Serikali bali mbunge wa jimbo kwa
maslahi ya jimbo letu tu.
Nilipowapeleleza huyu
kijana yuko wapi walisema ni mtumishi katika
moja ya Halmashauri hapa nchini.
My take: Ni kweli nabii hakubaliki kwao.......?