African varsities pathetic in academic publications`

Sasa si unaona matatizo yenyewe ya maendeleo yalipo i too totally agree with you hapa.

Umeona mfano mwingine huu wa 'kilimo kwanza' majuzi tu tumeletewa post za wizi wa mbolea wenye gharama za mabillioni, bila ya kurudia key problems ambazo might arise ulizozileta. Inaonesha ni jinsi gani mambo yalivyoanza kiuolela holela bila ya mipango, kujua ufatiliaji wake, kuhakikisha its not a failure and limiting foul play wao washaanza kuwekeza. Kwa upande wangu hii ni demonstration ya kuwa hii ni moja ya mikakati mingi ambayo aijakua throughly thought, bali ni kubahatisha tu.

Dunia ya leo aiitaji tena mwendo huo na bila ya hawa wasomi wetu kui-guide serikali ipasavyo na right strategies and policies huu umaskini wetu ni wa muda mrefu kwani mzungu awezi kuja kutufanyia research kwenye kila kitu mwisho tuige. Inabidi tuanze kujinyanyua wenyewe na wasomi wetu na sio raisi wetu pamoja na waziri mkuu wake kushtuka shtuka ugenini na kulilia wawekezaji sehemu ambazo tunaweza fanya wenyewe kukizi mahitaji ya watanzania ambao wapo disadvantaged.

Sio kila kitu kitoke nje vingine vyenye manufaa yetu itatulazimu tujifanyie wenyewe na tujifunze kujipangia wenyewe, after all we are responsible na maendeleo ya nchi yetu hivyo tunahitaji wasomi watakao tuletea haya maendeleo na kazi zao kinyumbani tu.

Br. Juma,

Umeaongea suala muhimu la utafiti kuwa sustainable. Kupiga hatua ktk maendeleo ya kiuchumi na kijamii, lazima system tunazoziadopt ziwe sustainable. Sasa kwa mwendo wa kusubiria tafiti zifadhiliwe na wageni ni wazi hatuezi fika popote. We have to find the way to finance our own projects, hiyo ni must do. Lazima kuwepo na continuity ktk mipango ya taifa. Hili tatizo sugu kabisa hata kwenye miradi ya kawaida ya kiserikali, achilia mbali hilo changa la m,acho la 'kilimo kwanza'..hamna continuity wala mipango ya muda mrefu.

Suala jingine ambalo nimeliona ni kikwazo na tatizo kubwa, ni muunganiko au tuseme ushirikiano baina ya watafiti na organs nyingine ktk jamii ambazo zinapaswa kutumia hizo tafiti in practicality. It is a shame tafiti nyingi zinafanywa kwa kutumia pesa nyingi na kuishia kuekwa kwenye makabati na kuishia kuliwa na panya na kukojolewa na mende. Hata ukitizama miundo ya wizara zetu, hakuna initiative ya kuona links za watafiti na watengeza sera. Na mbaya zaidi hali halisi ya sasa ya serikali kutojishughulisha na chochote zaidi ya ukuwadi.
 
Br. Juma,

Umeaongea suala muhimu la utafiti kuwa sustainable. Kupiga hatua ktk maendeleo ya kiuchumi na kijamii, lazima system tunazoziadopt ziwe sustainable. Sasa kwa mwendo wa kusubiria tafiti zifadhiliwe na wageni ni wazi hatuezi fika popote. We have to find the way to finance our own projects, hiyo ni must do. Lazima kuwepo na continuity ktk mipango ya taifa. Hili tatizo sugu kabisa hata kwenye miradi ya kawaida ya kiserikali, achilia mbali hilo changa la m,acho la 'kilimo kwanza'..hamna continuity wala mipango ya muda mrefu.

Suala jingine ambalo nimeliona ni kikwazo na tatizo kubwa, ni muunganiko au tuseme ushirikiano baina ya watafiti na organs nyingine ktk jamii ambazo zinapaswa kutumia hizo tafiti in practicality. It is a shame tafiti nyingi zinafanywa kwa kutumia pesa nyingi na kuishia kuekwa kwenye makabati na kuishia kuliwa na panya na kukojolewa na mende. Hata ukitizama miundo ya wizara zetu, hakuna initiative ya kuona links za watafiti na watengeza sera. Na mbaya zaidi hali halisi ya sasa ya serikali kutojishughulisha na chochote zaidi ya ukuwadi.
Kaka asante tena,

Hii ndio mistari ambayo nilikua naifikiria hata mimi na si haya mambo ya sijui world theories we tend to admire mega projects as if we are all megalomaniacs. Thats fine but we also have to look at our back yard and investigate the best ways to utilize our resources, formulate the right policies kulingana na kipato chetu and come up with the right strategies to get us out of poverty.

Unfortunately there's no database nor journals anywhere in the world that can offer us that help ni wasomi wetu tu lazima watufanyie hii kazi vinginevyo serikali ita endelea kuboronga kwa muda mrefu.

Hila kuna kitu ambacho nimejifunza humu ndani kutoka kwako na mchangiaji mwingine, serikali nayo inaonekana ina play a huge part in demoralizing these individuals na sidhani kama inaelewa umuhimu wa hawa watu na hizi kazi zao. Hila its about time na wao (scholars) waonyeshe uzalendo wao kwa namna moja au nyingine hata basi kuandika ma-articles kwenye magazeti (without political bias) ya maana kupinga sera za serikali kama hazifai kutumia academic reasoning tupate hata picha basi za wasomi wetu sio kukaa kimya kabisa.
 
Mkuu DC hili bado ni tatizo, binafsi huwa inaniwia ngumu mno kama nitaamua kuandika nikiwa Tz bado journal nyingi zinahitaji kulipia, napata nafuu kwa kuwa ninawatu wa nje ninaofanya nao kazi na hunisaidia mno, lakini kwa kutegemea resources za nyumbani hata nikiwa Mlimani ambapo kuna baadhi ya journal tunapewa free bado. nadhani inatakiwa fedha zinazotengwa kwa ajili ya tafiti au kuendeleza vyuo pia zitenge fungu kwa ajili ya kulipia open access ya some journals na pengine wawe wanaupdate mara kwa mara ili kuenda sambamba na ukuaji wa database za kimataifa.

kingine pia ni pamoja na level ya research zetu ni ngumu mno kupublish kwenye international journal or high ranked journals tunaishia kwenye local or regional journals ambazo pengine hata uki-google huwezi zipata kwahiyo katika ni ngumu mno kuwa ranked kwa hili, hizi zinasaidia tu humu ndani watu kupanda na kuwa maprofessor.

1. Mkuu ninakubaliana nawe kabisa uliyoyasema ila pia baadhi ya hizo ''high ranked journals'' wakati mwingine huwa wana mtazamo hasi kwa machapisho yanayoandikwa na wataaluma wa kutoka Afrika(kuwa siyo rahisi kufikia viwango walivyoviweka). Sana sana labda mtazamo huo utawekwa kando iwapo atakuwa mwafrika lakini yupo katika nchi iliyoendelea.

2. Serikali au mtendaji yoyote makini duniani husikiliza/husoma/huhifadhi/huchapisha matokeo ya tafiti zinazofanywa, hata kama haitilii maanani matokeo hayo kwani ndiyo dira katika utendaji.
 
1. Mkuu ninakubaliana nawe kabisa uliyoyasema ila pia baadhi ya hizo ''high ranked journals'' wakati mwingine huwa wana mtazamo hasi kwa machapisho yanayoandikwa na wataaluma wa kutoka Afrika(kuwa siyo rahisi kufikia viwango walivyoviweka). Sana sana labda mtazamo huo utawekwa kando iwapo atakuwa mwafrika lakini yupo katika nchi iliyoendelea.

2. Serikali au mtendaji yoyote makini duniani husikiliza/husoma/huhifadhi/huchapisha matokeo ya tafiti zinazofanywa, hata kama haitilii maanani matokeo hayo kwani ndiyo dira katika utendaji.

Hakuna kitu, ni ukweli haziko ktk kiwango. wala sio afrika wala nini. Ukiweka journal yako ya uhakika unadhani kuna atayepinga? Ukidesa wasisema kwa sababu u-mwaafrika?
Sahizi kuna system ukiweka tu journal yako inakaguliwa kote duniani wanapata hata NENO umeli DESA kutoka wapi? wala si longo longo eti waafrika.
 
Hakuna kitu, ni ukweli haziko ktk kiwango. wala sio afrika wala nini. Ukiweka journal yako ya uhakika unadhani kuna atayepinga? Ukidesa wasisema kwa sababu u-mwaafrika?
Sahizi kuna system ukiweka tu journal yako inakaguliwa kote duniani wanapata hata NENO umeli DESA kutoka wapi? wala si longo longo eti waafrika.

Ni kweli kwamba viwango vilivyowekwa kwa ajili ya kuandika katika ‘A Rated Peer Reviewed Journals’ viko juu sana. Actually, changamoto ya kupublish kwenye journal hizo sio ya waafrika peke yao, hata waalimu katika vyuo vikuu katika nchi zilizoendelea Marekani na Marekani, wanasota sana kuweza kupublish katika Journal hizo zinazoongelewa. Ninamfahamu Prof mmoja ambaye mara kadhaa ame attempt kupublish katika A rated Journal bila mafanikio, japo maandiko yake yalikubalika katika Journals nyingine…
While I appreciate importance ya kuwa na publications katika Academic Journals….bado ninadhani ipo haja ya kuweka msisitizo wa mambo matatu ambayo yamejitokeza katika mjadala huu:
1) Kuwepo na research agenda zenye kulenga kutatua changamoto zinazotukabili
2) Ku ensure sustainability (continuity) katika tafiti zetu
3) Kuwepo working link kati ya researchers na policy makers- ili policy makers wanufaike na ushauri wa kitaalamu ulio tested
Pia suala la funding ya research lazima liwepo uzito wa kipekee. Ni lazima tutenge fedha zetu wenyewe kwa ajili ya research na pia kutafuta fedha za nje pasipo kukubali kupangiwa ajenda ya research na hao wanaotupatia fedha…that means….mara nyingine ikibidi kukopa, basi tukope….kwa ajili ya research….
Pia si vibaya ku explore possibility ya watafiti wetu wa Afrika kushirikiana, kwani changamoto nyingi za kijamii na kisayansi katika nchi hizi za Afrika zinafanana. Ndio maana huko nyuma Rais wa Mozambique alishawahi kusema…siri ya mafanikio yao ni ‘kuchukua programu za maendeleo zinazozalishwa Tanzania…na wao kazi yao ni ku implement tu’….
It can still be done….. hivi mnafahamu kwamba wataalam wa pale SUA kwa kushirikiana na wataalam kutoka Antwerp University walikuwa na mradi wa kutegua ‘landmines’ kwa kutumia panya maalum (http://www.gichd.org/fileadmin/pdf/about_gichd/press/Tanzania_Standard_26June06.pdf) … Leo hii test ya panya hao zinatumika Afghanistan na kwingineko….. publications za studies hizo zipo kwenye reputable journals…soooo HAYA YAWEZEKANA……..sidhani kama wataalam wetu wamechoka KIHIVYO…
 
Ni kweli kwamba viwango vilivyowekwa kwa ajili ya kuandika katika ‘A Rated Peer Reviewed Journals' viko juu sana. Actually, changamoto ya kupublish kwenye journal hizo sio ya waafrika peke yao, hata waalimu katika vyuo vikuu katika nchi zilizoendelea Marekani na Marekani, wanasota sana kuweza kupublish katika Journal hizo zinazoongelewa. Ninamfahamu Prof mmoja ambaye mara kadhaa ame attempt kupublish katika A rated Journal bila mafanikio, japo maandiko yake yalikubalika katika Journals nyingine…
While I appreciate importance ya kuwa na publications katika Academic Journals….bado ninadhani ipo haja ya kuweka msisitizo wa mambo matatu ambayo yamejitokeza katika mjadala huu:
1) Kuwepo na research agenda zenye kulenga kutatua changamoto zinazotukabili
2) Ku ensure sustainability (continuity) katika tafiti zetu
3) Kuwepo working link kati ya researchers na policy makers- ili policy makers wanufaike na ushauri wa kitaalamu ulio tested
Pia suala la funding ya research lazima liwepo uzito wa kipekee. Ni lazima tutenge fedha zetu wenyewe kwa ajili ya research na pia kutafuta fedha za nje pasipo kukubali kupangiwa ajenda ya research na hao wanaotupatia fedha…that means….mara nyingine ikibidi kukopa, basi tukope….kwa ajili ya research….
Pia si vibaya ku explore possibility ya watafiti wetu wa Afrika kushirikiana, kwani changamoto nyingi za kijamii na kisayansi katika nchi hizi za Afrika zinafanana. Ndio maana huko nyuma Rais wa Mozambique alishawahi kusema…siri ya mafanikio yao ni ‘kuchukua programu za maendeleo zinazozalishwa Tanzania…na wao kazi yao ni ku implement tu'….
It can still be done….. hivi mnafahamu kwamba wataalam wa pale SUA kwa kushirikiana na wataalam kutoka Antwerp University walikuwa na mradi wa kutegua ‘landmines' kwa kutumia panya maalum (http://www.gichd.org/fileadmin/pdf/about_gichd/press/Tanzania_Standard_26June06.pdf) … Leo hii test ya panya hao zinatumika Afghanistan na kwingineko….. publications za studies hizo zipo kwenye reputable journals…soooo HAYA YAWEZEKANA……..sidhani kama wataalam wetu wamechoka KIHIVYO…

Waatalamu wetu ndo wanatakiwa ku set up area za research na kuzi propozi serikalini, Na lazima tutambue Tz si nchi iliyoendelea kwamba itaweka bajeti ya research kwa kitu ambacho ni PASSIVE.

Wataalamu wanatakiwa kuwa ACTIVE, na siyo propaganda tu wakitupa maneno huku na kule
 
Kuna mambo mengine hatuwezi tu, ila kujitoa aibu tunasema ooh serikali bajeti haiweki research. Angalia maeneo kama ya IT kama huko kuna hitaji kutumia fedha nyingi sana mpaka uitaji fund kutoka serikalini.
Nafikiri huko kama una nia hakuhitaji fedha ni mwenyewe tu, na kama ikihitaji basi DEMO unaweza tengeneza kabisa na ukai manage.Sasa huko nako mbona hatuoni journal?
Mbaazi ikikosa maua-------------
 
Kuna mambo mengine hatuwezi tu, ila kujitoa aibu tunasema ooh serikali bajeti haiweki research. Angalia maeneo kama ya IT kama huko kuna hitaji kutumia fedha nyingi sana mpaka uitaji fund kutoka serikalini.
Nafikiri huko kama una nia hakuhitaji fedha ni mwenyewe tu, na kama ikihitaji basi DEMO unaweza tengeneza kabisa na ukai manage.Sasa huko nako mbona hatuoni journal?
Mbaazi ikikosa maua-------------

ON that aspect ya wataalam wetu kuwa proactive, we are on the same page.....kwakweli bila hivyo...nobody will remember to fund their work...."You always get what you bargained for"...
 
Back to basics, kale katheory beziki kabisa ka economics - Demand & Supply hakaaply hapa????????????
 
Nitachapicha summary ya utafiti wangu wakulu, lakini nitapenda mnicritisize ili nitoke na 1st Class
 
Kufanya Research ni gharama, Kwa sasa hivi kulingana na hali ya Tanzania ni vigumu sana kwa professors kufanya research na zikakubalika kimataifa.

Sababu ni kwamba hakuna udhamini wa serikali katika research na hakuna research agenda ya nchi. Halafu sasa hivi lazima tujue hata professors katika vyuo vyetu hakuna wengi wanajitafutia ridhiki katika siasa. Na hata pia waliopo wamejikita katika consultancy. Ukishafanya consultancy kama za Tanzania ambazo hazihitaji akili nyingi huwezi kufanya research ambazo zinahitaji ku-compete internationally.

Ukiangalia nchi zilizoendelea zina research agenda ambapo serikali huwekeza katika sehemu hizo na professors huwa wanawekeza nguvu as a result hizo research hunufaisha nchi na vyuo kwa ujumula.

Kama wanavyosema hakuna nchi iliyoendelea bila kuwekeza katika research hivyo Tanzania kuendelea itakuwa ndoto tu, tunaimba wimbo research asilimia 1% wimbo huu ni mtamu sana lakini hakuna chochote.
 
Mjadala ulinipita kidogo, lakini nimefurahi kuuona leo asubuhi na kuamua kupitia maoni yote!

Inaonekana tunajua matatizo yako wapi na tuna mawazo ya kuyatatua. LAKINI, hata watu wakipewa hela za kutosha kujiendeleza kwenye mambo ya taaluma na utafiti, kama hakuna wanafunzi au watu ambao wanataka kufanya tafiti hatutafika mbali. (Kumbuka, sikatai kuwa hela zinahitajika!)

Kama wachangiaji kadhaa walivyosema, inabidi tufikirie "continuity". Binafsi nadhani moja ya njia za kutatua tatizo hili ni kuwapa motisha wanafunzi kwenye masuala ya utafiti. Kwahiyo, badala ya kuwafundisha tu nadharia, ni jambo la busara kuwapa publications ambazo ni muhimu kwenye 'field' husika. Ile hulka ya kufanya au kupenda kusoma na kufanya utafiti haijengwi kwa miaka michache au kuwapa watu internet masaa 24.

Kwahiyo basi, maprofesa wetu waanze kuwapa publications muhimu wanafunzi wao (kwenye mwaka wa pili au wa tatu wakati wa shahada ya kwanza; tusisubiri mtu aanze kufanya PhD ndio tunampa 'papers'). Kama hauwezi kutafuta papers mwenyewe (profesa) tafuta watu wanaoweza kukusaidia...Naamini tuna vijana wengi ambao wanasoma nje ya nchi na wana access kwenye journals mbalimbali zilizotajwa.

Nadhani nitajaribu kuwa na kama 'portal' fulani ya kuwasaidia vijana wenzangu ambao wanahangaika kutafuta 'papers'. Hata kama Serikali haipangi kuongeza hela kwenye sekta ya utafiti/vyuoni, ni bora kuwa na wananchi wengi wanaojua nini kinatokea kwenye kona nyingine za dunia -- huwezi jua, labda watakuja na mawazo mazuri zaidi miaka ya baadae!
 
DI,Hongeraga sana na mchango wako,pia nimeipenda hili liujumbe lako.

......" Mtenda akitendwa hudhani kaonewa" Akudo Impact, 2010.
 
Back
Top Bottom