African Satellite World and Sat Gear

African Satellite World and Sat Gear

Satellite frequency eutelsat 7b

Frequency 10887 mhz
Polarity H
Symbol rate 30000

Channel hii nimeazisha wadau
 
Ipi ni receiver bora kwa channel za habari, documentary, n.k. kutumia dishi? Ninekinai brand ya GT Media.
Pale AliExpress sijapaelewa
 
Kuna mtu anayetumia hii kitu humu je vp kwenye ubora wake
Screenshot_20250701_084128_com.android.chrome.jpg
 
Nina meecast ni model mpya ambayo imeboreshwa signal ic yake ni strong pia ina mfumo wa iptv ina akaunt ya mwaka, unaweza kutumia ivo kawaida kwa dish au ukiwa na bando unajiachia tu na iptv
Thanks! Uliinunua wapi (mawasiliano kama inawezekana)? Bei gani?
 
Binafsi nahusika na uuzaji wa Online TV (IPTV)

Katika SmartTv pia na Smartphone



Kifurushi cha mwezi ni Tsh.9,000/=

Hapo kuna

Live tv 23,000+

Movies 10,000+

Series 10,000+



Chaneli nyingi za ulaya,America,Africa n.k

Chaneli za DSTV 180+

Canal Afrique 150+

Azam tv 5 (azam 1&2 azam sport hd 1,2,3)

Movies ni nyingi saana latest



Ila kabla hujanunua natoa link ya Buree ambayo utaitumia kwa masaa 24 kuona hizo chaneli kama utalidhika nazo basi ndio tutafanya biashara,kwa Tsh.9,000/=
Kaka huduma ipo bado
 
Ipi ni receiver bora kwa channel za habari, documentary, n.k. kutumia dishi? Ninekinai brand ya GT Media.
Pale AliExpress sijapaelewa
tafuta mediastar 4030 pro (ina processor yenye nguvu so uta enjoy hata IPTV ), achana na takataka za GT media hizo
mwaka jana bei ilisoma 280k
 
IMESHUKA BEI SASA NI
tsh 120,000
Starsat: sr 200 extreme UHD 4k
Used ila Ipo na kila kitu chake
Ipo Dar es Salaam.
Contact: 0778045037
 
Back
Top Bottom