Mmh, lakini sijui kama wote tunajua athari za hizi nywele au huu urembo wa bandia wa kutumia madawa kama yale ya kubadilisha maumbile asilia. ingekuwa vyema tujulishwe athari pengine mtu anaweza kufanya uamzi maana siku hizi humjui yupi mwaume, yupi mwanamke kwa ajili ya huo urembo bandia. yaani ngoma droo.
mmh hatari!