Forbes.com October, 9 Mwaka 2016 walionesha kuwa, kuna Walimu milioni 90
UNESCO walikadiria bado kutakuwa na hitaji la Walimu kati ya milioni 69 - 70 ili kufikia SDG's 2030.
Lakini tayari kuna uhaba mkubwa wa Walimu Uingereza,Canada.
Kenya wanamchoma Mwalimu mwenzetu kisa shule hujapata matokeo mazuri. Ndiyo maana kwenye kiitikio cha wimbo wa Afrika kuna maneno "Mungu imbariki Afrika na watu wake".