Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,675
- 9,038
Naandika huu Uzi kwa majonzi baada ya kuona dada zetu wakichukuliwa nchi za Afrika kama Tanzania Kenya Uganda Sudan etc. Na kuchukuliwa wakipelekwa nchi mbalimbali wakiahidiwa kazi na makazi na wengine huenda kama wakimbizi wa nchi za north Africa wakienda kutafuta maisha ughaibuni.
Lakini wengi wamejikuta wakigeuzwa kuwa watumwa huko wafikako.
Kumekuwa na trend ya nchi za mashariki ya kati kuendeleza utumwa. Sababu hasahasa ikiwa ni ubaguzi dhidi ya waafrika na nyingine ni dini.
Cha ajabu kinachonitia majonzi zaidi ni pale muafrika huru kama mtanzania baadala ya kukemea vitendo hivyo huvitetea kwakuwa vinashabiriana na dini yake.
Utakuta mtanzania anafurahi kusikia watanzania wenzake wakiuzwa huko Oman kisa yeye huona hao wa'oman ni ndugu zake kidini na wako sahihi na wengine kwa unafiki zaidi ili kutetea dini yao hufumbia macho vitendo hivi na kuigiza kama havipo na kukana haiwezekani au kusema haihusiani na dini ili kuendelea kufumbia macho vitendo hivi.
Mimi pia nina dini lakini brothers dini inabadilika siyo ngozi yangu. So I am African first before I am Christian or Islam.
Hata nikiwa ughaibuni nikaambiwa nichague kati ya waafrika wapagani na wazungu waumini wenzangu mimi nitaenda kwa waafrika
We were same until religion separated us
We were equal until money classified us
We were alike until race segregated us
Lakini wengi wamejikuta wakigeuzwa kuwa watumwa huko wafikako.
Kumekuwa na trend ya nchi za mashariki ya kati kuendeleza utumwa. Sababu hasahasa ikiwa ni ubaguzi dhidi ya waafrika na nyingine ni dini.
Cha ajabu kinachonitia majonzi zaidi ni pale muafrika huru kama mtanzania baadala ya kukemea vitendo hivyo huvitetea kwakuwa vinashabiriana na dini yake.
Utakuta mtanzania anafurahi kusikia watanzania wenzake wakiuzwa huko Oman kisa yeye huona hao wa'oman ni ndugu zake kidini na wako sahihi na wengine kwa unafiki zaidi ili kutetea dini yao hufumbia macho vitendo hivi na kuigiza kama havipo na kukana haiwezekani au kusema haihusiani na dini ili kuendelea kufumbia macho vitendo hivi.
Mimi pia nina dini lakini brothers dini inabadilika siyo ngozi yangu. So I am African first before I am Christian or Islam.
Hata nikiwa ughaibuni nikaambiwa nichague kati ya waafrika wapagani na wazungu waumini wenzangu mimi nitaenda kwa waafrika
We were same until religion separated us
We were equal until money classified us
We were alike until race segregated us