Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
King'amuz cha azam channel [HASHTAG]#116[/HASHTAG] ZBC2Jamani hivi TV ya bongo ni IPI inaonesha?
King'amuz cha azam channel [HASHTAG]#116[/HASHTAG] ZBC2Jamani hivi TV ya bongo ni IPI inaonesha?
so far ZBC2Jamani hivi TV ya bongo ni IPI inaonesha?
Kwani hata show za world cup si zinakua za kawaida tu pale hakuna mambo ya kufunika wala nini.....acheni umbwiga.Diamond kaperform too normal . hakuna cha pekee kapoa sana
anaimba diamond hafiki hata robo ya mckweli kabisa, mshikaji bonge la Entertainer!!!
Dear nami nije tuangalie wotehuyu jamaa anaeimba sasa hivi nani mkuu?
tunacoment tulichokiona hatutukani matusi sio ustaarabu wanguKwani hata show za world cup si zinakua za kawaida tu pale hakuna mambo ya kufunika wala nini.....acheni umbwiga.
Wabongo katika ubora wenuyah ni kweli....mbn mahombi mwenzie katulia frsh...alikua akiruka ruka anakaa kimya...akiimba anaacha kuruka ruka....yn kuimba na kucheza vnapokezana
wewe Fundi umeongea.....sure embu angalia booba anavokamua na sauti inasikika classic na anakamua fresh heavy voice
Tatizo anataka kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja...hata michael jackson tu kuimba na kucheza kunamsumbua...ila still chibu kafanya vyema.
Pole sana Chibu, hiyo Flag INA GUNDU.... Umechemsha sana Hommie
hana sauti kabisa yule ni dansa tu
kuna tusi gani hpo? au humjui mbwiga?tunacoment tulichokiona hatutukani matusi sio ustaarabu wangu
kwa hiyo unataka kunisadikisha umbwiga=mbwigakuna tusi gani hpo? au humjui mbwiga?
miss you babyDear nami nije tuangalie wote
Nataman nipae nije mymiss you baby
hiyo ni tafsir yko,nimetumia umbwiga kwa maana ya "acha maneno mengi" km mbigwa wa mbwiguke wa clouds sports extra au ww unapenda kujipa maana ya pili ya umbwiga?kwa hiyo unataka kunisadikisha umbwiga=mbwiga
.................................@...................hiyo ni tafsir yko,nimetumia umbwiga kwa maana ya "acha maneno mengi" km mbigwa wa mbwiguke wa clouds sports extra au ww unapenda kujipa maana ya pili ya umbwiga?