Credere Potest
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 217
- 298
Mimi siku zote AFCON...Timu zangu ni Misri,Algeria,Morocco, ...hawa jamaa huwa nawakubali sana haswa Egypt....ukiacha waarabu huwa nawapenda Nigeria. ....ila michuano hii nitaanza na Uganda
Hata hiyo Algeria alikuwepo miaka ya 80 mtaalam akiitwa mustapha rabah madjer huyo mtu alikuwa hodari sana enzi hizo kulikuwa na gazeti linatoka kwa mwezi linaitwa Africa now lilikuwa maarufu sana picha za rangi zilizo koza unamuona mtu kweli zamani acha iwe zamaniSwadaqta l'akhy..hao walikua mashine si mchezo..
Misry ilikua inaheshimika mno,soka lao lilikua la kipekee sana Afrika...kwa sasa tunaiona Algeria ikishambulia zaidi mpaka mjerumani alitokwa jasho w/c...ngoja tuone AFCON ya mwaka huu itaamua vipi...
Sio mbaya hala hala jirani japo kibaba .Nitashangilia The Cranes
Hata hiyo Algeria alikuwepo miaka ya 80 mtaalam akiitwa mustapha rabah madjer huyo mtu alikuwa hodari sana enzi hizo kulikuwa na gazeti linatoka kwa mwezi linaitwa Africa now lilikuwa maarufu sana picha za rangi zilizo koza unamuona mtu kweli zamani acha iwe zamani
Ukanda huo ulikuwa na watu ila kiujumla africa ya kaskazini na pia magharibi walikuwa mbali kimpira Morocco ya kina mohamed timoumi na badou zaki huyu alikuwa nyanda mzuri sana magharibi ya kina upuku nti wa ghana na huku Cameroon ya kina thiofile abega huyu mpaka mchezaji wetu ramadhani lenny alibatizwa jina la abega kwa uhodari wa huyu jamaa so Africa vipaji vilikuwepo toka zamani .Al'akhi unakumbukumbu nzuri sana Mshllh, Algeria nimeanza kuifuatilia miaka sio mingi sana..ila nasikia miaka hiyo ilikuwa inatisha mno...
Kweli kila kitu na mwanzo wake na mwisho wake
Ukanda huo ulikuwa na watu ila kiujumla africa ya kaskazini na pia magharibi walikuwa mbali kimpira Morocco ya kina mohamed timoumi na badou zaki huyu alikuwa nyanda mzuri sana magharibi ya kina upuku nti wa ghana na huku Cameroon ya kina thiofile abega huyu mpaka mchezaji wetu ramadhani lenny alibatizwa jina la abega kwa uhodari wa huyu jamaa so Africa vipaji vilikuwepo toka zamani .
Pana huyu selif keita traore wa mali ambae alienda ufaransa mwaka 1972 kujiunga na saint etienne na kisha vilabu vingine barani ulaya kama OM valencia na vingine huyu baada ya kustaafu alifungua academy ambayo seidou keita yule alie kuwa Barcelona ambae ni mpwa wake alijifunza mpira pale .
Hapa unajipa uzelendo tu usiokuwa nao naamini lazima kuna timu ya magharibu au north africa unaipenda.Nitashangilia The Cranes
Ndugu yangu musolin5 ndio mapenzi yake yapo hapo kwa korongo inabidi tuyaheshimu jamani .Hapa unajipa uzelendo tu usiokuwa nao naamini lazima kuna timu ya magharibu au north africa unaipenda.
Huwezi ipenda uganda mbele ya misri,algeria,morooco,cort de ivory, ghana,na nyingine nyingi
Njoo ndugu yangu ujibu hapa watu wanapigia upatu na kutilia shaka mahaba yako kwa cranes .Nitashangilia The Cranes
Kila mtu si ana mapenzi yake, mimi nimeweka uzalendo kwa Uganda, lolote litakalotokea sawa tu.Njoo ndugu yangu ujibu hapa watu wanapigia upatu na kutilia shaka mahaba yako kwa cranes .
Mkuu acha kukariri, mimi ni shabiki kindakindaki wa Uganda katika michuano hii.Hapa unajipa uzelendo tu usiokuwa nao naamini lazima kuna timu ya magharibu au north africa unaipenda.
Huwezi ipenda uganda mbele ya misri,algeria,morooco,cort de ivory, ghana,na nyingine nyingi
Ndio hapo sasa kipendacho rohoKila mtu si ana mapenzi yake, mimi nimeweka uzalendo kwa Uganda, lolote litakalotokea sawa tu.
Karibuni,
Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya AFCON 2017, Njooni tusemezane, Matokeo, news, n.k
Mbarikiwe!