Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Mie nimeamua kuwa neutral ili nisiharibu usingizi wangu mithili ya Amavubi ambaye hukesha akiwa macho kitandani mwake pindi timu yake ikifungwa.

Hiki kizazi cha CIV kabla ya kupotea walau kinahitaji kombe la AFCON
..
 
Last edited by a moderator:
Kuna kila dalili ya tuta katika kupata bingwa wa mashindano haya.
 
Penalty ni kati ya hatua inayonikosesha uhuru siku zote.
 
naona mpira ndo unachangamka,ila wamechelewa lazima wafike matuta
 
Kuna Star atakosa penalt,kama siyo Eyew,ila kuna star leo lazima akose penalt
 
_80871480_aurier_hero_afp.jpg
 
Back
Top Bottom