Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Hawa EQ Guinea hawaipendi kabisa Ghana, leo tutawaduwaza na Ivory Coast yao.
 
Katavi leo wewe ni team gani?maana nikikumbuka world cup 2014 nacheka peke yangu.
 
Huyu commentator wa Kispanish anasema kinachomfurahisha kwenye Africa Cup ni tackles! Anaziita 'African tackles'
 
Hawa Ghana wameanza kunifuraisha kiasi.
 
Ghana wanagonga mwamba kwa mara ya pili!
 
kama matuta hivi yanaonekana,bado hawajachangamka sana.Wakienelea hivi basi tutashuhudia matuta

Sisi kutoka miji ya Accra na Kumasi tunamaliza hii mechi ndani ya dakika 90. Subiri mtaalamu kutoka Tel Aviv akianza kuonyesha ufundi wake.
 
Hahahahahahahaha lol!!! Nakumbuka lol! Nataka Ghana washinde, hawa wana similarities nyingi na Watanzania pia nina marafiki wengi wa Kighana.

Gyan anawachosha wenzake, kashazeeka na ligi anayocheza haina tofauti na ya Yanga na Simba, asipokuwepo Ghana wanacheza vizuri sana. Angeanzia bench tu, Jordan Ayew awachoshe kina Kolo
 
Back
Top Bottom