uliona walivyokuwa wanacheza,kama walikuwa wanaogopana kufungana,ila naona Ghana wanaelekea kulibebaNilikuambia umeona mbali sana kama mie. Dk 15 za kwanza ziliniambia hii mechi ni matuta
Muda wa kubana naniliu.....usisahau kuzibana ili Ghana washinde.lol