Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Mie sina Mkuu naangalia kwenye TV, jaribu kugoogle unaweza kufanikiwa kuzipata. Hongera mdudu Nzi enjoy the final game. Victoire Katavi leo anashabikia timu ipi ili tuanze kutabiri mshindi lol!!!

Live streaming??? Kuna mtu anazo links??
 
Last edited by a moderator:
Gyan anawachosha wenzake, kashazeeka na ligi anayocheza haina tofauti na ya Yanga na Simba, asipokuwepo Ghana wanacheza vizuri sana. Angeanzia bench tu, Jordan Ayew awachoshe kina Kolo
Mkuu heshima yako, naona tumepoteana sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
​Anastahili kwenda bench baada ya half time.

Gyan anawachosha wenzake, kashazeeka na ligi anayocheza haina tofauti na ya Yanga na Simba, asipokuwepo Ghana wanacheza vizuri sana. Angeanzia bench tu, Jordan Ayew awachoshe kina Kolo
 
Timu yoyote itakayobeba ndoo leo sawa tu.
 
Heshma kwako Mkuu, siku hizi si hutaki kuja kutasabahi maburuda? Me bukheri wa afya, sijui wewe? Na wewe uko na vijana wa Arvam Grant?

Pamoja mkuu.... kama kawaida ya siku zote team Ghana.
 
Timu Ghana fanya mambo basi kama walivyofanya yanga.
 
Kila la kheri Cote de Ivoire...

Toeni gundu bana baada ya kulikosa kombe mara kadhaa zilizopita...
 
timu zote zimeishiwa ideas. IC wanachofanya sana sana ni kupeleka long balls kwa Bony basi
 
Huyu mtaalam wetu toka Tel Aviv naona ameishiwa mbinu .
 
Kila la kheri Cote de Ivoire...

Toeni gundu bana baada ya kulikosa kombe mara kadhaa zilizopita...

Mie nimeamua kuwa neutral ili nisiharibu usingizi wangu mithili ya Amavubi ambaye hukesha akiwa macho kitandani mwake pindi timu yake ikifungwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom