Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

kweli mkuu kumbuka mwenyeji alikuwa na siku 60 kuandaa mashindano na timu ya taifa. Mungu awape nini, mpira wanacheza ngalia goli la pili lilivyo zuri.

Wanacheza mpira mzuri sana sikutegemea
 
_80704074_javierbalboa_afp.jpg
 
  • Thanks
Reactions: 999
Nyuso za wachezaji hazioneshi furaha ya kutoka moyoni.
 
Hii ndiyo Afrika !

haaaaaa wenyeji wameingia nusu fainali kwa mbeleko ya chuma, michuano imefanikiwa

Mbona kawaida sana au kipindi cha nyuma ulikuwa huonagi ujanja ujanja tena wa kipumbavu wa hawa waarabu?
 
Kiungwana wenyeji wamebebwa wazi sana hadi aibu......
 
Refa kamaliza mpira kabla hata muda haujatimia kikamilifu.....Anyway....acha waarabu waondoke siwapendi tu.....
 
>>>So, Equatorial Guinea, ranked 118 in the world, progress to the last four, and there must be admiration for that.<<<<<,
 
Hii ndiyo Afrika !

haaaaaa wenyeji wameingia nusu fainali kwa mbeleko ya chuma, michuano imefanikiwa

Ni kweli. Lakini acha na wao waarabu waonje machungu ya kuonewa kama wazifanyiavyo timu nyingine. Wenzao si walisema hawawezi kuandaa michuano hii kisa ebola. Wajitoe CAF kama wanaona inafaa. Si wanasema wao si waafrika. HONGERA EQG ingawa mbeleko chuma imefanikiwa.
 
Mbona kawaida sana au kipindi cha nyuma ulikuwa huonagi ujanja ujanja tena wa kipumbavu wa hawa waarabu?

Sawa.Kutesa kwa zamu, na vilevile ni shukrani kwa Teodoro Nguema kwa kuyaokoa mashindano mwaka huu.
 
Sawa.Kutesa kwa zamu, na vilevile ni shukrani kwa Teodoro Nguema kwa kuyaokoa mashindano mwaka huu.

Kweli wamelipa fadhila kwaTeodoro.....Waarabu wamechangikiwa ile mbaya..
 
Sawa.Kutesa kwa zamu, na vilevile ni shukrani kwa Teodoro Nguema kwa kuyaokoa mashindano mwaka huu.

Hawa jamaa michuano ikichezwa kwao Tunisia/Misri/Morocco sitakagi hata kuangalia coz of upendeleo wanaokuwaga nao.
Wakishakufunga ni kuanza kujiangusha tu na kulialia kwa refa kila saa, muda mwingine waanzishe fujo zisizokuwa na kichwa wala mguu, mara wapige mchezaji yaani hilahila za kijinga jinga tu.
Kama unawaona Algeria wanacheza mpira hawana ujingaujinga huu wa waarabu wenzao
 
Back
Top Bottom