Ingawa siwapendi waarabu lakini hii penati ni kubebwa live.....aibu sana ....
huyu refa nimempenda sana, waarabu wa ajabu sana. mwenyeji aendelee kushereshesha mashindano.Acha wabebwe, waarabu wana mchezo wa kijinga sana wakishafungaga kagoli kamoja, muda wote kujiangusha na kuanza fujo za kipumbavu.
Stupid sana hii mi.dhut
Jamaa wanapewa penati dakika ya 90? ....hii imewauma sana Tunisia ......
huyu refa nimempenda sana, waarabu wa ajabu sana. mwenyeji aendelee kushereshesha mashindano.
Bonge la refa
Kweli refa guud sana haendekezi ujinga wa hawa waarabu. Refa akikomaa nao watakaza kota otherwise wanapenda kukuendesha wao wanavyotaka