vipi mitanange inaendeleaje?niliikosa toka mwanzoni hope nusu robo fainal ya usiku nitaangalia
jana niliingia chaka,mimi nasubiri za kesho.Ghana vs Guinea,Cote d'ivoire vs AlgeriaWewe mdada ratiba yako iko tofauti na yetu au mambo ya time difference? jana hapakuwa na match, mambo yako leo. Kinshasa, Kisangani, Lumbashi kumewaka moto. Brazzavile 2-4 Kinshasa.
Full time- congo 2-4 congo dr
DRC hakuna mchezaji BOKILA bali ni BWAKILA, msichanganye pronounciation hapa.
Leo bana KIN, Lubumbashi, Goma ni kamata loketo, mikono yulu, maboko na kutomboka tu !