Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Ghana wanashambulia na kukosa magoli mawili ya wazi. Atsu na Jonathan wangekuwa makini ubao ungesomeka 3-0.
 
Senegal wanajibu mapigo na dakika ya 27 nusura wapate goli la kusawazisha kama sio uhodari wa kipa Razak.
 
Kipa Razak anapangua tiktak ya Mame Diouf na kuwa kona,hii ni dakika 33.
 
Haijarishi mazingira ya mji ila mpira wenye nidhamu na ufundi tunauona
Safi Equatorial Guinea
Muulize mbona wao wenye miji yenye mazingira mazuri wameshindwa kuandaa haya mashindano!!!!! Big up Equatorial Guinea.
 
Half time
Senegal wamecreate chance nyingi bila uhodari wa kipa wa Ghana ingekua hata Senegal 3-1 Ghana

Ila kipindi cha kwanza kimeisha
Ghana 1-0 Senegal
 
Back
Top Bottom