Afisa wa Hamas Osama Hamdan: Mohammad Al Sinwar yuko hai

Afisa wa Hamas Osama Hamdan: Mohammad Al Sinwar yuko hai

Yule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini huwa analeta habari hazina uhakika.

Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.

Ok ngoja tusubiri baada ya wiki hivi tutamuona kwenye runinga na AK-47 alisema tutawafurumusha Waisrael kwenye nchi yetu
 
Hamasi huwa hawasemi uwongo hata Hezbullah mwenye kusema uwongo ni Israel na USA
Sawa mkuu; well sura ya huyo anaetuhumiwa kuuawa imeonekana anywhere? And why then Hamas walimtaja kiongozi mpya baada ya kutangazwa kua huyu kafariki/kauawa?
 
Back
Top Bottom