Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,839
- 14,482
- Thread starter
- #21
Sio Yahaya wewe punguza kula mlenda ni Yahya 😄 🤣Hata mauaji ya Yahaya hatua za awali ilionekana ni uongo
Sio Yahaya wewe punguza kula mlenda ni Yahya 😄 🤣Hata mauaji ya Yahaya hatua za awali ilionekana ni uongo
Wauza bangi ndio wenye lana sio askari wanao kulinda wewe.Kazi za uaskari bongo ni kama laana hivi🤔
Yanatakiwa yafe majitu Yote yasiyomjua YESUNi kichaa TU anaeweza kuwasikiliza hao mbwa, ni uhuni unafanyika wanaua watu Kama 100 hivi ili kelele za kimataifa zisiwe nyingi wanasema walilenga viongozi wa hamasi, huku wakikamilisha ushenzi wao, habari ninayosikia ni inayotoka Kwa Hamas au Al Houth Moja Kwa moja.
Yule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini huwa analeta habari hazina uhakika.
Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.
Mbona una deviate sheikh? Issue hapa ilikuwa amekufa au hajafa hayo ya Kila mtu atakufa Hilo ni suala lingine halihusiani na mada.Sa wewe hautakufa au kufa nilazima tufe wote tu
Huo ni uongo ambao kwenu ninyi Waislamu mnaita TAQIYYAH yaani kusema uongo kwa akili ya mnyazimungu wenu. Gaidi Mohamed Sinwar sasa hivi anaozeana kwenye friji huko Israel akiwa kwenye kitanda kimoja na ndugu yake Yahya Sinwar!!!Yule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini huwa analeta habari hazina uhakika.
Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.
Sa we tuonyeshe picture kama kweli kafa story za bla bla bila dalili msituletee hapa.Mbona una deviate sheikh? Issue hapa ilikuwa amekufa au hajafa hayo ya Kila mtu atakufa Hilo ni suala lingine halihusiani na mada.
Ni kichaa TU anaeweza kuwasikiliza hao mbwa, ni uhuni unafanyika wanaua watu Kama 100 hivi ili kelele za kimataifa zisiwe nyingi wanasema walilenga viongozi wa hamasi, huku wakikamilisha ushenzi wao, habari ninayosikia ni inayotoka Kwa Hamas au Al Houth Moja Kwa moja.
Tunasubiri taarifa za Hamas za mazayuni tayari tunazo hivyo tuliaWewe na akili zako bado unaamini huyo Mbwa yuko hai? Huyo aliuliwa siku nyingi sema tu nyinyi waislam mnapenda sana kusema uongo (Taqiyyah)ili tu kufurahisha Mnyazimungu wenu!,,,
Wew ndio humjui YesuYanatakiwa yafe majitu Yote yasiyomjua YESU
Hata Osama si walisemaga hivi hivi? Of course hata humu kuna watu hawaamini kama Osama aliishaga uawa na majeshi ya Marekani pale PakistanYule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini huwa analeta habari hazina uhakika.
Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.
Story nyingi za nini leteni uthibitisha mlisema Abu Obaida na Mohammed Al Sinwar wamekufa mbona Abu Obaida anatoa statement kila mda 😄 🤣Hata Osama si walisemaga hivi hivi? Of course hata humu kuna watu hawaamini kama Osama aliishaga uawa na majeshi ya Marekani pale Pakistan
Mnanikumbusha ile operation ya Bollywood mlio ifanya Alshifa Hospital mkasema central Command ya Hamas hahaha. Mnaofopa nini kutoa mwili wake kama kweli mmemuwa mbona ndugu yake mlituonyesha mwili wake.Huo ni uongo ambao kwenu ninyi Waislamu mnaita TAQIYYAH yaani kusema uongo kwa akili ya mnyazimungu wenu. Gaidi Mohamed Sinwar sasa hivi anaozeana kwenye friji huko Israel akiwa kwenye kitanda kimoja na ndugu yake Yahya Sinwar!!!
Kama mnataka kudhibitisha wamwambie aonekane kwenye media yoyote hata Aljazeera kama wanaweza!!! Huyo Alisha kufa zamani na Alisha’s za kabla askari wa Israel hawajaenda kuukokota mzoga wake kutoka kwenye handaki alikokuwa Akiishi Mbwa huyo!!
Du, sikujua kama tunashindana. Mimi siwezi kuthibitisha wala kukana kwamba huyo mtu KAFA au HAJAFA; point yangu ni hi, "both wanaweza kua waongo, Israel and Hamas/Hezbollah na mfano ni huo wa Osama.Story nyingi za nini leteni uthibitisha mlisema Abu Obaida na Mohammed Al Sinwar wamekufa mbona Abu Obaida anatoa statement kila mda 😄 🤣
Hamasi huwa hawasemi uwongo hata Hezbullah mwenye kusema uwongo ni Israel na USADu, sikujua kama tunashindana. Mimi siwezi kuthibitisha wala kukana kwamba huyo mtu KAFA au HAJAFA; point yangu ni hi, "both wanaweza kua waongo, Israel and Hamas/Hezbollah na mfano ni huo wa Osama.