Afisa wa Hamas Osama Hamdan: Mohammad Al Sinwar yuko hai

Afisa wa Hamas Osama Hamdan: Mohammad Al Sinwar yuko hai

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,602
Reaction score
13,983
Yule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini huwa analeta habari hazina uhakika.

Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.

 
Ni kichaa TU anaeweza kuwasikiliza hao mbwa, ni uhuni unafanyika wanaua watu Kama 100 hivi ili kelele za kimataifa zisiwe nyingi wanasema walilenga viongozi wa hamasi, huku wakikamilisha ushenzi wao, habari ninayosikia ni inayotoka Kwa Hamas au Al Houth Moja Kwa moja.
 
Yule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini alivyo mjinga huwa analeta habari hazina uhakika. Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.
View attachment 3365028
Tuliambiwa hivyo hivyo na Waziri wetu Mkuu kuwa Jiwe yupo hai na anaendelea na kazi zake ofisini.. kumbe kadedi..

ila news hizi za Taqiyya Tv ngumu kumeza
 
Tuliambiwa hivyo hivyo na Waziri wetu Mkuu kuwa Jiwe yupo hai na anaendelea na kazi zake ofisini.. kumbe kadedi..

ila news hizi za Taqiyya Tv ngumu kumeza
Kazana kutengeneza majina umesha fikisha mangapi lile la Echolima1 hilo la kuleta maneno ya kanga kutoka Tela Aviv sio 😂
 
Ni kichaa TU anaeweza kuwasikiliza hao mbwa, ni uhuni unafanyika wanaua watu Kama 100 hivi ili kelele za kimataifa zisiwe nyingi wanasema walilenga viongozi wa hamasi, huku wakikamilisha ushenzi wao, habari ninayosikia ni inayotoka Kwa Hamas au Al Houth Moja Kwa moja.
Arabs si wameshajiapiza kuwaondosha Wayahudi kwenye Ardhi waliyopewa na Allah, Israel kwa sasa anawapa Arabs wanachowish. wakisema tunanyimwa maji Smortich anafunga mabomba, Wakisema wapokea Misaada wanauliwa, General anaagiza risasi zifanye kazi, kila wishes Arabs wakitaka wanaipata..

Midomo ya waandishi wa Kiarabu inawakosea sana Wagaza na na wale wa Judea na Samaria... Jews keshawaambie muishi pamoja nyie kila siku Palestina wil be free from river to the sea, Hata ingekuwa Tanzania waarabu waje waseme wanataka Zanzibar free Sultan arejee weusi wote waondoshwe sijui mngewashabikia hao Arabs wa Oman?

Jews ni kwao na Hekaru la Suleiman lazima lisimame upya lina historia ya kuangushwa na kujengwa upya.. Smotrich Au Ben Gvir mmojawapo akiwa akiwa PM lazima alijenge Temple

During his visit, Ben-Gvir said: “The time has come to build a Jewish synagogue on the Temple Mount.” Building the Third Temple is a commandment incumbent upon the Jewish people as written in the Book of Exodus: And let them make Me a sanctuary that I may dwell among them (Exodus 25:8)

I sraeli far-right Finance Minister Bezalel Smotrich has said he supports the construction of a Jewish temple on the site of Al-Aqsa Mosque in occupied East Jerusalem and claimed he is willing to personally finance it.
 
Kazana kutengeneza majina umesha fikisha mangapi lile la Echolima1 hilo la kuleta maneno ya kanga kutoka Tela Aviv sio 😂
Mbona unanisingizia Majina ya user wengineKatika Uislam unahitaji ashahidi wanne au na wewe ni mtume hutaji shahidi hata mmoja kama mudy? Nyie Muslim mafunzo yenu ni machafu...Mtume wenu from Qutham hadi 99 names Allah from Lah hadi 99 names mmezoea kuishi na majina lukuki hebu mcheke kwanza Allah na Mudy maana walichukua Majina yote ya Wayahudi

Kwa unataka kutuambia Allah amefail kuchukua roho ya Sinwar? Hamas mapanya
 
Mbona unanisingizia Majina ya user wengineKatika Uislam unahitaji ashahidi wanne au na wewe ni mtume hutaji shahidi hata mmoja kama mudy? Nyie Muslim mafunzo yenu ni machafu...Mtume wenu from Qutham hadi 99 names Allah from Lah hadi 99 names mmezoea kuishi na majina lukuki hebu mcheke kwanza Allah na Mudy maana walichukua Majina yote ya Wayahudi

Kwa unataka kutuambia Allah amefail kuchukua roho ya Sinwar? Hamas mapanya
Hadi raha!
 
Mbona unanisingizia Majina ya user wengineKatika Uislam unahitaji ashahidi wanne au na wewe ni mtume hutaji shahidi hata mmoja kama mudy? Nyie Muslim mafunzo yenu ni machafu...Mtume wenu from Qutham hadi 99 names Allah from Lah hadi 99 names mmezoea kuishi na majina lukuki hebu mcheke kwanza Allah na Mudy maana walichukua Majina yote ya Wayahudi

Kwa unataka kutuambia Allah amefail kuchukua roho ya Sinwar? Hamas mapanya
We kenge toka lini Allah akawa ana majina 99 kuna tofauti kati ya sifa na majina hebu wewe jiulize swali Yesu ana majina mangapi? Kabla ya kukimbilia kwa Allah haha.

Nenda shule wakufundishe nini sifa na nini jina unaonyesha ukenge umekuzidi sana.

Hivi wewe unadhani wenye akili humu hawakujui wewe una majina mangapi humu.
 
Ubaya wa hizi taarifa ni ngumu kuzithibitisha kwa kuwa huyo anayesemekana kanusurika hawezi kudhihirika hadharani kuyathibitisha
 
Mud Sinwar ni nani? Walikufa wakina Mud Deif mkasema uongo ila Leo hamna majibu, huyo keshaenda na maji IDF kabla ya kuitangaza kifo cha hao wapumbavu wa Gaza wanachukua na vinasaba kabisa usifikiri wanafanya kazi kama askari wenu wa CCM .
 
Yule Echolima1 alisema Mohammed Al Sinwar kauliwa na Israel tulimuambia sio kila anacho sema Israel uwe unakiamini lakini alivyo mjinga huwa analeta habari hazina uhakika. Kiongozi wa Hamas kule Lebanon Osama Hamdan wamekanusha hayo na wanasema yuko hai.
View attachment 3365028
kobazi acheni kujifariji kijinga huyo gaidi wenu kashakwenda na maji Mimi nilifikiri hata mnamuonyesha Mohamed Sinwar yupo hai anaongea kumbe gaidi mwingine aliyejificha mataifa mengine ndio anamsemea
 
kobazi acheni kujifariji kijinga huyo gaidi wenu kashakwenda na maji Mimi nilifikiri hata mnamuonyesha Mohamed Sinwar yupo hai anaongea kumbe gaidi mwingine aliyejificha mataifa mengine ndio anamsemea
We dogo huvi unafahamu Hamas wapo mpaa Lebanon au hufahamu kama hufahamu ni msimba na kama unajitoa ufahamu huo ni msiba nwingine ndio mana huwa nawaita nyie makenge. Huwa hamfahamu lolote we unamjua Osama Hamdan ni nani hahaha akili ni mali sana.
 
Hata mauaji ya Yahaya hatua za awali ilionekana ni uongo
Hamna lolote Hamas walitangaza naIsrael akaonyesha mpaa maiti yake. Mwambieni atuonyeshe huyo Mohammed Al Sinwar na Abu Obaida ambaye mtoa mada alisema wamekufa hahaha
 
Mud Sinwar ni nani? Walikufa wakina Mud Deif mkasema uongo ila Leo hamna majibu, huyo keshaenda na maji IDF kabla ya kuitangaza kifo cha hao wapumbavu wa Gaza wanachukua na vinasaba kabisa usifikiri wanafanya kazi kama askari wenu wa CCM .
Sa wewe hautakufa au kufa nilazima tufe wote tu
 
Back
Top Bottom