Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,810
- 11,981
Yule wa dodoma aliye inflate gharama za ujenzi wa ofisi ya PCCB hatumsikii tena au alishawapa gawio wakubwa akanyamaziwaClemency Martin Mlay Afisa Ugavi wa TANESCO Makao Makuu, Mbaroni kwa kosa la kusababishia Serikali hasara ya Zaidi ya Tsh. Milioni 800
View attachment 1709123View attachment 1709124
Pccb nao ni walaji. Na huko tanesco ni shamba la bibiYule wa dodoma aliye inflate gharama za ujenzi wa ofisi ya PCCB hatumsikii tena au alishawapa gawio wakubwa akanyamaziwa
Wanajuana kwa vilemba vyaoPccb nao ni walaji. Na huko tanesco ni shamba la bibi