mawazomgala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 342
- 212
September 12, 2018
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Inj. Cyprian Luhemeja ametembelea mradi wa maji wa Chalinze ili kujionea maendeleo ya mradi na kupanga utaratibu wa kuongeza kasi ya ujenzi.
Ikiwa ni siku yake ya nne tangu kutangazwa rasmi jumamosi Sept. 8, 2018, amefanya maamuzi ya kuongeza nguvu katika usimamizi na kutaka mkandarasi kampuni ya OIA ya India kutekeleza kazi usiku na mchana ili kuleta matokeo yanayotarajiwa.
Luhemeja amesema mradi utazinduliwa mwezi Disemba 2018. Leo anaendelea na ziara katika miradi ya usambazaji maji.
Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Inj. Cyprian Luhemeja ametembelea mradi wa maji wa Chalinze ili kujionea maendeleo ya mradi na kupanga utaratibu wa kuongeza kasi ya ujenzi.
Ikiwa ni siku yake ya nne tangu kutangazwa rasmi jumamosi Sept. 8, 2018, amefanya maamuzi ya kuongeza nguvu katika usimamizi na kutaka mkandarasi kampuni ya OIA ya India kutekeleza kazi usiku na mchana ili kuleta matokeo yanayotarajiwa.
Luhemeja amesema mradi utazinduliwa mwezi Disemba 2018. Leo anaendelea na ziara katika miradi ya usambazaji maji.