Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Imetokea kwenye majibizano kabla ya mechi wakati River United wakilazimishwa kuingia vyumba vya kubadilishia nguo uwanjani. River United waligoma kuingia kukiwa na tetesi za upuliziaji wa dawa vyumbani.Pia wachezaji wawili wa River United walikutwa na covid
Kwa uhuni huu Yanga wasitegemee kufanyiwa ukarimu Nigeria
Kwa uhuni huu Yanga wasitegemee kufanyiwa ukarimu Nigeria