MPEPE
Senior Member
- Oct 20, 2012
- 155
- 64
Habari
Mamlaka husika naomba mchukue hatua kwani huyo jamaa hana ethics kabisa za ualimu na elimu kwa ujumla, ni corrupt sana (wakuu wa shule nimashahidi), anawaomba sana hongo na wanampatia kwa hofu ya kutumbuliwa, na sasa ameenda mbali zaidi amepewa nyumba shuleni badala ya mwalimu.
Uchunguzi ukifanyika mtabaini madudu mengi sana
Nawasilisha
Maoni ya mdau wa elimu
Mamlaka husika naomba mchukue hatua kwani huyo jamaa hana ethics kabisa za ualimu na elimu kwa ujumla, ni corrupt sana (wakuu wa shule nimashahidi), anawaomba sana hongo na wanampatia kwa hofu ya kutumbuliwa, na sasa ameenda mbali zaidi amepewa nyumba shuleni badala ya mwalimu.
Uchunguzi ukifanyika mtabaini madudu mengi sana
Nawasilisha
Maoni ya mdau wa elimu