zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Kata ya kiwanja cha ndege Dodoma mjini,chini ya uongozi wa Diwani Mh.kambenga,kupitia CCM. Umeifumbia macho REHEMA ACADEMY SCHOOL iliyojengwa karibu kabisa na Nyumba ya Waziri wa ulinzi, kwa utaratibu wao wa kuwachanganya
CHEKECHEA+P/SCHOOL+SECONDARY pamoja
Jambo ambalo limezua Maneno mengi kwa wakazi wa Eneo husika.
Ni kwamba Secondary ina walimu sita tu licha ya kuwa na mikondo miwili,na jumla yao ni 68,
Cha ajabu zaidi ni Walimu wa p/school kufundisha na secondary pia.
Wakufunzi wa Elimu hyo imekaaje,Na wanafunzi wote wanaingia Saa Moja Nusu mpaka saa kumi na moja.,
CHEKECHEA+P/SCHOOL+SECONDARY pamoja
Jambo ambalo limezua Maneno mengi kwa wakazi wa Eneo husika.
Ni kwamba Secondary ina walimu sita tu licha ya kuwa na mikondo miwili,na jumla yao ni 68,
Cha ajabu zaidi ni Walimu wa p/school kufundisha na secondary pia.
Wakufunzi wa Elimu hyo imekaaje,Na wanafunzi wote wanaingia Saa Moja Nusu mpaka saa kumi na moja.,