Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,312
Wanaforum tukutane hapa kuhabarishana vitu/matukio ya kuvutia katika fainali hizi za mwaka huu 2019 zinazotarajiwa kuanza Ijumaa hii ya tarehe 21/6.
Tuanze kwa kushuhudia muonekano wa muonekano wa mlinzi wa Gor Mahia na timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars', Joash Onyango katika maandalizi ya AFCON 2019. Hivi sasa ana umri wa miaka 26.
Tuanze kwa kushuhudia muonekano wa muonekano wa mlinzi wa Gor Mahia na timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars', Joash Onyango katika maandalizi ya AFCON 2019. Hivi sasa ana umri wa miaka 26.