AFCON 2019 EGYPT: MKUSANYIKO WA MAMBO/MATUKIO YA KUVUTIA/AJABU.

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,440
16,242
Wanaforum tukutane hapa kuhabarishana vitu/matukio ya kuvutia katika fainali hizi za mwaka huu 2019 zinazotarajiwa kuanza Ijumaa hii ya tarehe 21/6.

Tuanze kwa kushuhudia muonekano wa muonekano wa mlinzi wa Gor Mahia na timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars', Joash Onyango katika maandalizi ya AFCON 2019. Hivi sasa ana umri wa miaka 26.

IMG_20190618_123652.jpeg
IMG_20190618_123655.jpeg
IMG_20190618_123650.jpeg
 
Aache bangi Aisee. ..Mbona sura yake inaonyesha kuwa yupo sawa na baba yangu??
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom