AFCON 2017: Maombi ya maandalizi

AFCON 2017: Maombi ya maandalizi

Kipaji Halisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
2,280
Reaction score
1,364
attachment.php

Naona ndugu zetu wa Kenya wanameanza kampeni mapema...

cc: Jamal Malinzi

Ndugu wadau, mwisho ni tarehe 30/09/2014, nchi zilizokwishatuma maombi ni

"Kenya, Algeria, Ethiopia, Ghana, Mali na Zimbabwe zinawania kuandaa makala ya 2017 baada ya Libya kujiondoa kufuatia kuzorota kwa hali ya usalama nchini humo." Source-BBCSWAHILI-ONLINE.

Wadau mbona sijaona jina la Tanzania. Wakati walisema wataomba? bado siku 8 tu!!!!

Nawasilisha!



 

Attachments

  • kenya afcon.jpg
    kenya afcon.jpg
    52.1 KB · Views: 203
Bongo na TFF wamelala usingizi wa pono(samaki)
 
Kenya wako vema zaidi kuliko sisi, walishawahi kuandaa michuano ya AllAfrica Games...
 
Ndugu wadau, mwisho ni tarehe 30/09/2014, nchi zilizokwishatuma maombi ni

"Kenya, Algeria, Ethiopia, Ghana, Mali na Zimbabwe zinawania kuandaa makala ya 2017 baada ya Libya kujiondoa kufuatia kuzorota kwa hali ya usalama nchini humo." Source-BBCSWAHILI-ONLINE.

Wadau mbona sijaona jina la Tanzania. Wakati walisema wataomba? bado siku 8 tu!!!!

Nawasilisha!
 
Vigezo hatuna moja wapi ni kuandaa mashinfano ya africa chini ya miaka 17.
 
siasa inatawala kila kona...BTW..TFF Wamerudi ofisi za zamani????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom