AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

chibha chibhi staz wanashinda moja bila
 
yaani hakuna hata redio inayotangaza, this is absurd!
 
Staz wamepigwa ngapi mpaka sasa??
 
Staz wanabutua tu,hawajapiga hata pasi5 zinazoeleweka.

Kona ya kwanza staz inapata na inapigwa na Mchezaji wa timu yangu ya Azam
 
Kuna mjinga mmoja kaharibu hali ya hewa eti anamponda Warioba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…