AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

Happy for Bukina faso...Ghana imebebwa sanaaa!!
 
Huyu refa Mtunisia atakuwa ameambiwa apange fainali ya ghana vs nigeria ili kuongeza mvuto kwa mashabiki, kanyima pens mbili, katoa red isiyo halali, kanyima goli. halafu ghana walikuwa wanajiangusha sana ili kupoteza muda na kupunguza kasi ya mchezo akawa anawaachia. Bukina wanaweza kubeba ndoo, they are more physical stronger and taller than the super chickens. hope pitroipa(no. 11) red card itafutwa for the final
 
Back
Top Bottom