BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,079
mpaka nasinzia..khaah!! hauishi tu
Kwani waarabu walitolewa na bukinabe mbona refa anahasira nao hivyo!Refa noma. Anatafuta box office final japokuwa ghana wako ovyo this time
Mkuu unaangalia ama? Kipa aliguswa wapi pale?
mpaka nasinzia..khaah!! hauishi tu
mkuu nilipenda Ghana washinde, ila kwa huu ujinga wa refa bora wafungwe tu..refa hana hata mshipa wa aibu...sasa hivi nimehamia Brazil na England kwa sababu ya ubabaisha wa refa.
Tulia mamie bado kidogo tunashangilia! Vuta subira,
Hehehhehehe let's now go and sleep peacefullyani kuna mghana katoa nje penalt kabisaa. duh