Refa katoa penalti ya bure. Wenzake wanaenda kumwambia. Akirudi anabalance mambo kwa kuwapa Burkina penalti. Washindwe wenyewe.!
Sent from my GT-P7500 using Tapatalk HD
Goooooooooooooooo
Bukinabeeeeeee
Mpira unakua mzuri sasa Wanaigeria wajiandae kama watakutana na Bukinabe
Safi sana bukinabe!
patamu hapo.. Nashangilia mshindi leo he he he
Dah hawa bukinabe inabidi wapunguze pasi wakifika kwenye penalty box
Yaani wangetulia hawa mambo yangewanyookea