AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

Kocha wa nigeria, steven keshi, aliamua kuchezesha wachezaji wengi wanaocheza nyumbani, imemsaidia kwa kuwa wachezaji wengi wanaocheza soka la kulipwa nje wana nyodo sana na wanadharau makocha wazawa.
 
Bukinabe hapa naona wanawapeleka peleka Ghana
 
Bukina anakosa goli hapa jamaa anapaisha
 
Back
Top Bottom