Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,926
Tupo taifa na staz.Wadau hapa mbona papo kimya?
Tupo taifa na staz.Wadau hapa mbona papo kimya?
Nasikia nigeria wanaongoza goli mbili.
Goal za naijeria zimefungwa na
-uchi ideye
-uchi echiejile
-uchi emenike
-uchi musa
nipo bush mbali kweli nadhani hata huku mungu hakujui, nigeria wanacheza na nani?-cyo joke!
Hata refa kipofu hawezi kutoa penati paleRefa anaharibu mpira mapema hivi dah...
Bukinafaso wanajitahidi kucheza sema refa ndo keshawaangusha ila wanaweza kurudishaGhana wanapewa penati ya bure kabisa,aibu kubwa
Penati tata hapa wanapewa ghana !