FT algeria 0 - 2 togo ni baada ya kuongeza dk 13 baada ya dk 90 kuisha..
Wasije wakatuyangusha tu hapaSA watashinda!
Kivip mkuu? Gemu ndo ishaanzaJamani gemu zinaanza saa ngapi? Naingiliwa vinywaji hapa buku 3 inauma
Gooooo! Moroco washafunga
Kipa anafanya makosa ona saa hii bado kidogo afungwe tenaMakosa ya goalkeeper wa SA. Tangu mwanzo alionyesha mchecheto
Kivip mkuu? Gemu ndo ishaanza
Mwisho wa siku si unakula faida mkuu au vipi?Nipo na mpododo unanikamua bia za buku 3 mpaka sasa kapiga 20 maumivu mkuu