Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,945
- 5,082
Naam, mtanange ndo umeanza, Ivory coast vs Tunisia. ... Bishow drogba kaanzia bench
Haa mkuu amekua bitozi huyu mtu
Naam, mtanange ndo umeanza, Ivory coast vs Tunisia. ... Bishow drogba kaanzia bench
1 ya vitu nilivyo-note ni maamuzi mabovu y refarees, dk ya 56 gervinho amefunga goli mshika kibendera akaashiria kuna offside, lakini picha za marudio zinaonyesha hakukuwa na offside, bali kulikuwa na on side. Linesmen hapo kabla alionyesha ishara ya offside kwa solomon kaluo, lakini picha za marudio hazionyeshi kuwapo na offside. Kama mtakumbuka jana penalt waliyopewa zambia walibebwa, jamaa aliangushwa nje ya 18. Poor refaring! Aaaghr
Dakika ya 32 Goal... Adebayor. Togo wanaongoza
Ritz usiogope kila unapokwenda nipo nyuma yako!half time hapa,togo wanaongoza kwa goli moja