Afariki kwa ajali ya 'ungo' jioni hii

Afariki kwa ajali ya 'ungo' jioni hii

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,454
Ameanguka na ungo na kufariki.
Imetokea jioni hii maeneo ya Kijichi. Hapa maiti ikishushwa katika gari la Polisi kuhifadhiwa hospitali ya Temeke.

Chanzo cha ajali hakijajulikana uchunguzi unaendelea

1476640841223.jpg
 
Hii kitu ya ungo ni imagination haiwezekani hata kidogo eti mtu apande kwenye ungo.

1. Serikari ifanye uchunguzi wa kina yawezekana watu wamefanya mauaji halafu waka plot scene ili kufunika uovu wao

2. Kwa kuwa jamii ilishalishwa dhana ya uongo ya watu kusafiri na ungo wamekuwa obsessed na illusion hiyo na hivyo kufunika hata uwezo wao wa kufikiri nje ya box na kubakia wakiamini kile wanachokiona na macho ya kawaida.

3. Ni mara nyingi watu wameshambuliwa na wengine hata kuuawa kwa imani za kijinga kama hizo pale ambapo waganga matapeli wa kienyeji wanapo kula deal na mtu kwa kumpaka mazizi na kumbebesha ungo na kujifanya eti amemtungua kwa nguvu zake ili apate wateja.

Hivyo , mtu huyo achunguzwe ni wawapi, ndugu zake, mara ya mwisho alionekana na nani au aliwasiliana na nani au alikuwa na uadui na nani.
 
Ungo Airways-Dash 47859,Registered Ufipa
Alikuwa katika uzinduzi
Amekufa kishujaa,naamini kabisa kwamba wenzie waliokuwa wanasuria landing yake,wanajua kosa lililofanya Air Ungo ianguke.Hope wataifanyie marekebisho.

Na kwa Ungo huo ulivyochakaa,inaoneakana jamaa ni Rubani mzoefu.Tatizo lake moja tuuu,ni bahili saana wa kununuaa Ungo Mpya,hapo ulipotoboka ndipo alipoangukia,maana ukiwa angani unakuwa mdogo kama popo
 
Back
Top Bottom