National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,179
- 56,011
kikubwa waarabu ndani.. mengine hayo ni vionjo tuWote ni waarabu, mmoja ni wa oman mwingine wa qatar
kikubwa waarabu ndani.. mengine hayo ni vionjo tuWote ni waarabu, mmoja ni wa oman mwingine wa qatar
Nasikia Kuna dose mpyaUnakuta alipiga vya mg 100 viwili ndani ya mda mfupi wakati uwezo wa mwili wake ni 50 mg
Nzi kafia kwenye kidondaSi wanashindana na walikotoka waache wafe shenzy kabisaa
Kwani hii njoi inatibu nini tofauti na hiyo kazi
m sielew inachotbu nlikunywa nikamkomoe dem alkula hela yangu. Ila mwsho wa cku nlmkomoa yule manz na mm pia tabu nlipata ckulala kabsa dem kachoka ila ngoma bado ipo mnara adi sa 4 asubuh. Ckurudia tenaKwani hii njoi inatibu nini tofauti na hiyo kazi
Nzi kafia kwenye kidonda
hahahaaaaphamas yoyote ukisema njoi wanakupa huku wakikukata jicho kama vile umeenda nunua condom na mbaya zaid ukitoka hapo famas nyuma lazima wakujadil na huyu hana nguvu mbona kijana mzur sana, hao ni famasia wadada
Hapa nipo kwenye majonzi mazito baada ya kumpoteza rafiki yangu kipenzi, huyu jamaa yangu alikuwa anapenda sana kutumia dawa za kuboost nguvu zijulikanazo kama, njoi nilimshauri sana kupunguza matumizi ya haya madawa lakini alikuwa hata hanielewi, ilikuwa inafikia hatua anakunywa hadi tatu
Hatimaye jana usiku amemaliza mwendo baada ya kuzidisha dozi na umauti umemkuta akiwa gheto kwake usiku wa jana.
NB VIJANA WENZANGU KUWENI MAKINI NA HAYA MADAWA SIO RAFIKI KWENYE MIILI YETU HAKUNA TUZO UTAYOPATA KWENYE GAME ZAIDI UTATANGULIA NA KUACHA PISI ZINADUNDA MTAANI, KWANINI MJITESE KIASI HICHO?
Hivi hii akili ya kwamba ukimtia sana mwanamke ndio unamkomoa watu waliotoa wapi..?Kama huna nguvu si utulie jamani
Dah lala salama
Kama juzi nilishangaa hadi mdada wa watu anatamka maneno nisiyoyaelewaHamjawahi kuona kuna siku unapiga game mpaka unajishangaa nguvu zimetoka wapi, na hautumii chochote.?
Hivi hii akili ya kwamba ukimtia sana mwanamke ndio unamkomoa watu waliotoa wapi..?
Vijana wa kataa Ndoa Hovyo kabisa,Hivi hii akili ya kwamba ukimtia sana mwanamke ndio unamkomoa watu waliotoa wapi..?
Vijana wasome hapa,Vijana hawajui kuwa dhana nzima ya mapenzi inabebwa na romance na foreplay na asilimia ndogo ndio inamaliziwa na kuingiza uume......Kwa kifupi mwanamke anasikia raha sana kwenye foreplay kuliko kusuguliwa ndio maana wasagaji wakimkamata mpenzi wako ni ngumu kuwatenganisha hali ya kuwa mwanamke mwenzie hana uume lakini anamridhisha.......
Mwanaume hata kama huna nguvu za kutosha lakini ukiwa master kwenye foreplay hakuna mwanamke atakukimbia kwani asilimia tisini ya ashki za mwanamke zipo nje ya mwili wake na sio ndani ya uke.........
Vijana wajifunze foreplay na romance inatosha hiyo ya kuchomeka masaa manne ni kuumizana........
Vijana wana uelewa mdogo sana kwenye ulimwengu wa raha za faragha......na wengi wao wanaharibiwa na maneno ya vijiweni...........
Ngono ni uraibu kama uraibu wowote ule, sema unahalalishwa na ndoa. Biblia inashauri kuwa na 'kiasi' kwa wanandoa.Ujinga sana kutumia dawa kwa ajili ya ngono.
Mapapaz ndo niniWatu mna hekaheka na mapapaz kha!!
Apumzike anakostahili tu!